it's all coming back to me now wa celin dion........... unanikumbusha Joseph Wang after his death maana ndo ulikuwa unanifariji
go the distance by Michael Bolton unanikumbusha
siku nahitimu form four phwezi girls mkoani Rumphi nchini Malawi
thats why you go away wa Lionel Rich..... nilipo achwa na first man whom I loved ever
Hahahaaaaa umenikumbusha mambo ya kuandika barua kwenye zile karatasi zenye maua na kupulizia perfume. ..
Dahhh!
Aisee hizo zima naona zimeshatupwa mkono....Nakumbuka 'my love' wa west life dedication ya kwanza kabisa kupewa iliandikwa kwenye barua ndeefu ya maua maua na Perfume juu.
Thats why you go away Sio Wa Michael Learns The Rock Mkuu?
Aisee hizo zima naona zimeshatupwa mkono....
Lionel Richie? Nah. MLTR sista.it's all coming back to me now wa celin dion........... unanikumbusha Joseph Wang after his death maana ndo ulikuwa unanifariji
go the distance by Michael Bolton unanikumbusha
siku nahitimu form four phwezi girls mkoani Rumphi nchini Malawi
thats why you go away wa Lionel Rich..... nilipo achwa na first man whom I loved ever
these are the unforgettable moments am talking about...hutasahau kamwe as long as hiyo "sweet life" ya fally ipupa ipo hai....kweli life with music is sweet
pole sana mkuu,tena sanayani ule wimbo wa kamwambie wa dayamond utafikiri aliniimba mimi, yani kuna demu alinimwaga 2009 kisa sikuwa na mkwanja
teh teh teh! we jamaa kwa takwimu kama mzee pombe magufuliWimbo wa mzee wa busara unanikumbusha siku ya kwanza unatoka niliusikiliza radio free africa masafa ya kati mitabendi 1600 kipindi kinaitwa showtime, nakumbuka nilikuwa nachunga ng'ombe zetu takriban 64 mbuzi 40, na kondoo 26 peke yangu, nakumbuka marisho yalikuwa takribani kilomita 8-13 toka nyumbani, #Sitosahau
Lionel Richie? Nah. MLTR sista.
Hahahaaaaa wiki haipiti mtu hujaenda stationery kununua!Siku hizi si dijitali. Kila kitu Watsap sijui mara Facebook. Hata ile raha ya kumuona mtu analia lia na mwandiko wake mbovu hata haipo.
cjaelewa