Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 15,889
- 36,273
Wakuu kiukweli nimesikiliza bongo fleva nyingi sana ni kama zote....
Kuna nyimbo kali sana zimewahi kutokea/kuimbwa na wasanii wa hapa Nyumbani. Ila kwa upande wangu hakuna wimbo unaoweza kuufikia "Gheto Langu" Wa Mangwea aliomshirikisha Mez B...
Wakuu huu wimbo ni mkali sana, kuanzia beat, chorus, idea na stahili ya kughani...
R.I.P Ngwea..
Je wewe kako unaona ni wimbo gani ni bora kuzidi zote??
Kuna nyimbo kali sana zimewahi kutokea/kuimbwa na wasanii wa hapa Nyumbani. Ila kwa upande wangu hakuna wimbo unaoweza kuufikia "Gheto Langu" Wa Mangwea aliomshirikisha Mez B...
Wakuu huu wimbo ni mkali sana, kuanzia beat, chorus, idea na stahili ya kughani...
R.I.P Ngwea..
Je wewe kako unaona ni wimbo gani ni bora kuzidi zote??
