miles45
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 3,468
- 8,287
Kuna kitu kimoja nakiona saizi wanawake ni kama ile akili ya kupenda pesa kutoka kwa mwanaume inaanza kuwaisha.
Wanawake sasa wanatafuta mapenzi ya dhati kutoka kwa wanaume.na huku wanaume akili ya kutulia na mwanamke mmoja imetoweka kabisa.
Imefika hatua Mwanamke yoyote utakae muonesha ukarimu tu lazima akupende hii inaenda hata kwa wale wahudumu wa bar ambao tuliamini wale hawapendi wapo kipesa zaidi ila now ukimuonesha tu kumjari ile kikawaida kabisa yaani unampa hai kistaarabu na kumpigisha story mbili tatu kama mshikaji tu na ukamnunulia japo maji halafu usimuombe namba.
Ukimfanyia hivyo mara mbili tatu tu anakupenda na usipo muonesha hali ya kuto mtaka kimapenzi ndio kama unamkoleza.
Sio hapo tu sehemu yoyote yenye mchangamano na watu kama mwanaume ukiwa humble na maisha piga story na watu wote , wape ofa kama uwezo upo na jokes mbili tatu mademu waliopo hapo lazima wakupende.
Ishi maisha halisi, usioneshe dharau, heshimu kila mtu haijalishi anatako au bapa, be smart, onesha hauna shida ndogo ndogo usipo tongozwa na mademu njoo umuambie melo ani burn na nipo tayari kuka burn ya maisha.
Ila cha kusikitisha wengi wao wanakuja kugundua kuwa pesa sio dili sana kwao ni Bora wangepata mwanaume mmoja wa kuwatunza wakiwa wamechelewa na kukongoroka.
NB
Wanawake hizo pesa mnazo jidanganya mnazitafuta kiukweli kabisa hamta Zipata ila mtaishia kuchakazwa tu miili yenu haija umbiwa mizigo..... na mtachakaa haswa
Wanawake sasa wanatafuta mapenzi ya dhati kutoka kwa wanaume.na huku wanaume akili ya kutulia na mwanamke mmoja imetoweka kabisa.
Imefika hatua Mwanamke yoyote utakae muonesha ukarimu tu lazima akupende hii inaenda hata kwa wale wahudumu wa bar ambao tuliamini wale hawapendi wapo kipesa zaidi ila now ukimuonesha tu kumjari ile kikawaida kabisa yaani unampa hai kistaarabu na kumpigisha story mbili tatu kama mshikaji tu na ukamnunulia japo maji halafu usimuombe namba.
Ukimfanyia hivyo mara mbili tatu tu anakupenda na usipo muonesha hali ya kuto mtaka kimapenzi ndio kama unamkoleza.
Sio hapo tu sehemu yoyote yenye mchangamano na watu kama mwanaume ukiwa humble na maisha piga story na watu wote , wape ofa kama uwezo upo na jokes mbili tatu mademu waliopo hapo lazima wakupende.
Ishi maisha halisi, usioneshe dharau, heshimu kila mtu haijalishi anatako au bapa, be smart, onesha hauna shida ndogo ndogo usipo tongozwa na mademu njoo umuambie melo ani burn na nipo tayari kuka burn ya maisha.
Ila cha kusikitisha wengi wao wanakuja kugundua kuwa pesa sio dili sana kwao ni Bora wangepata mwanaume mmoja wa kuwatunza wakiwa wamechelewa na kukongoroka.
NB
Wanawake hizo pesa mnazo jidanganya mnazitafuta kiukweli kabisa hamta Zipata ila mtaishia kuchakazwa tu miili yenu haija umbiwa mizigo..... na mtachakaa haswa