mashini, tulisha lizungumza hili sana kiasi watu wanaweza kuchoka kusoma tena comments!
Ila kwa kifupi, kwa mtazamo wangu, wengi wao huwa hawajafahamiana vizuri (wale wanaokutana kwa muda mfupi) au hawajajiandaa kuishi maisha ya ndoa kisaikolojia (wamelazimishwa na familia, kupeana mimba, mazingira nk) au kuiga (kwa sababu age mate wake wote wameoa/kuolewa) au kwa nia ya kupata mtoto tu au kwa nia ya kupata mali tu toka kwa mpenzi wake, kutokujuana tabia halisi mapema, kudanganyana nyakati za uchumba na ukweli kujulikana baadaye nk.