officialBossmtoto
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 369
- 1,178
Habari ya uzima wanajamvi.
Mimi leo nina swali dogo ama niseme mdahalo mdogo ulioko kichwani mwangu ambao ningependa kushirikishana na nyinyi ili muweze kunisaidia katika hili.
Kumekuwa na wimbi kubwa la kuibuka kwa viongozi wa kidini hasa upande wa ukristo wanajiita mitume na wengine manabii.
1) Je, Hawa watu wanakidhi viwango gani kupata hio sifa?
2) Je, hicho cheo cha mtume au nabii mtu hujipa mwenyewe au kuna mfumo ambao unampa jina hilo?
3) Kama kuna mfumo unaompa hicho cheo. Je, Mfumo huo unaendeshwa ama kuongozwa na binadamu au Roho?
4) Nasikia kuna Rais wa Mitume na Manabii, kazi yake hasa ni nini?
Naomba tueleweshane na kufundishana na sio kukandiana. Twende kazi.
Mimi leo nina swali dogo ama niseme mdahalo mdogo ulioko kichwani mwangu ambao ningependa kushirikishana na nyinyi ili muweze kunisaidia katika hili.
Kumekuwa na wimbi kubwa la kuibuka kwa viongozi wa kidini hasa upande wa ukristo wanajiita mitume na wengine manabii.
1) Je, Hawa watu wanakidhi viwango gani kupata hio sifa?
2) Je, hicho cheo cha mtume au nabii mtu hujipa mwenyewe au kuna mfumo ambao unampa jina hilo?
3) Kama kuna mfumo unaompa hicho cheo. Je, Mfumo huo unaendeshwa ama kuongozwa na binadamu au Roho?
4) Nasikia kuna Rais wa Mitume na Manabii, kazi yake hasa ni nini?
Naomba tueleweshane na kufundishana na sio kukandiana. Twende kazi.