Ki Mun
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 3,443
- 4,384
Correction...Ikumbukwe huyu kijana wa Kinyaturu ndiye aliyerithi mikoba ya Nyalandu kwenye kiti Urais wa UKWATA pale Ilboru Sekondari miaka ya nyuma baada ya kumaliza muda wake.
Nimesoma darasa moja na Wilson Elisha Nkhambaku Ilboru na kumaliza wote 1996...Wilson hajawahi kuwa member wala kiongozi wa UKWATA, yeye alikuwa ni mwana-CASFETA(Umoja wa Wanafunzi wa Madhehebu ya Kipentekoste).
Pia Lazaro alikuwa ni Rais wa UKWATA Tanzania, siyo tawi la Ilboru tu.Lazaro ni Mlutheri, Wilson ni Mpentecostal
Mengine inaweza kuwa uko sahihi kiasi, not 100%.