Willium Malecela Vs January Makamba

Willium Malecela Vs January Makamba

Mtumishi Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2011
Posts
259
Reaction score
93
Hello wana JF,

Kwa muda sasa nimekuwa nafuatilia hoja mbalimbali zinazotolewa na ndg yetu bw W. Malecela. Imefika mahali nikiri kwamba ninapata ukakasi kusoma hoja anazozitetea kama hili la posho za wabunge na kwmb wabunge ni watu muhimu zaidi ktk hili taifa. Historia ni mwalimu mzuri sana; hivyo ninaamini kwa kuwa huyu mtu ni mtoto wa mwanasiasa mkongwe na pia amepata exposure ya kutosha hoja zake zingekuwa na mashiko zaidi. Nimejikuta najaribu kumlinganisha na mwanasiasa kijana (January Makamba) na ambae pia ni mtoto wa mtu ambae amekuwa serikalini na kwenye chama kwa muda mrefu. Birds of the same feathers do flock together, kutokana na background yao, hopefully these people are friends and possibly learning from each other. Swali langu hapa ni je, twaweza kuwafananisha hawa watu? Willium na January. Lengo hapa ni kusaidiana ili kila mmoja atekeleze majukumu yake na kuepuka matusi yasiyo na lazima kutoka kwa raia wema.
 
Tuwekee hoja za JM ndio tujue ni vipi tunaweza kuzifanyia kazi. Otherwise HUWEZI kuwafananisha hawa wawili kwa namna unayotaka tufanye
 
Tuwekee hoja za JM ndio tujue ni vipi tunaweza kuzifanyia kazi. Otherwise HUWEZI kuwafananisha hawa wawili kwa namna unayotaka tufanye

Kweli kuu, mada nyingine bwana hazina hata punje ya idea inayotakiwa ijadiliwe!
Taabu tupu!
 
Tuwafananishe harafu iweje? wewe umejifananisha nao? hoja yako haina mashiko
 
By the way, kumlinganisha January Makamba na Le Mutuz ni sawa na kulinganisha mlima na kichuguu
 
Hello wana JF,

Kwa muda sasa nimekuwa nafuatilia hoja mbalimbali zinazotolewa na ndg yetu bw W. Malecela. Imefika mahali nikiri kwamba ninapata ukakasi kusoma hoja anazozitetea kama hili la posho za wabunge na kwmb wabunge ni watu muhimu zaidi ktk hili taifa. Historia ni mwalimu mzuri sana; hivyo ninaamini kwa kuwa huyu mtu ni mtoto wa mwanasiasa mkongwe na pia amepata exposure ya kutosha hoja zake zingekuwa na mashiko zaidi. Nimejikuta najaribu kumlinganisha na mwanasiasa kijana (January Makamba) na ambae pia ni mtoto wa mtu ambae amekuwa serikalini na kwenye chama kwa muda mrefu. Birds of the same feathers do flock together, kutokana na background yao, hopefully these people are friends and possibly learning from each other. Swali langu hapa ni je, twaweza kuwafananisha hawa watu? Willium na January. Lengo hapa ni kusaidiana ili kila mmoja atekeleze majukumu yake na kuepuka matusi yasiyo na lazima kutoka kwa raia wema.

- Well, heshima yako mkuu hii kwenye siasa tunaita divide and rule, haina mashiko cause haina hii thread haina tija kwa taifa; Mh. Januari is a great friend, a great fella, smart, humble na very young for sure ni the future of this nation. He has all it takes kuwa effective leader wa this nation.

- Ninakubaliana na hoja zake na misimamo yake mingi sana politically, lakini kwenye hili la posho hatupo wote it is ok ndio Demokrasia, lakini otherwise I have a lot of respect for him hasa his works ninaamini kwamba given a chance huko mbele ya safari atalisaidia sana hili taifa, kwa sababu he can think solutions very quick, badala ya kusbiri upepo wa siasa au kuulizaa kwanza hiyo sio his style, ambayo ndio style ya politicians wetu wengi.

- HAVE A GOOD DAY BRO NA KIDUMU CCM!

William.
 
Wakuu nadhani tutakuwa na tija zaidi kwa kuendelea kudadavua hoja au topic aliyoiibua Bw. WJSM badala ya kuwajadili watu kwa sababu wasifu wa mtu binafsi hauna tija katika mada iliyopo mbele yetu.
Kuokoa matumizi mabaya ya kodi ya mlalahoi hakuwezi kusababishwa na wasifu binafsi wa WJSM au JM au mtu mwingine yoyote bali kwa nguvu ya hoja zenye mashiko za watanzania katika ujumla wao.
 
- Well, heshima yako mkuu hii kwenye siasa tunaita divide and rule, haina mashiko cause haina hii thread haina tija kwa taifa; Mh. Januari is a great friend, a great fella, smart, humble na very young for sure ni the future of this nation. He has all it takes kuwa effective leader wa this nation.

- Ninakubaliana na hoja zake na misimamo yake mingi sana politically, lakini kwenye hili la posho hatupo wote it is ok ndio Demokrasia, lakini otherwise I have a lot of respect for him hasa his works ninaamini kwamba given a chance huko mbele ya safari atalisaidia sana hili taifa, kwa sababu he can think solutions very quick, badala ya kusbiri upepo wa siasa au kuulizaa kwanza hiyo sio his style, ambayo ndio style ya politicians wetu wengi.

- HAVE A GOOD DAY BRO NA KIDUMU CCM!

William.
Ndugu yangu William hii mada ilikuwa inatuhusu sisi kuwalinganisha nyie wawili na si wewe kujibu kama ulivyofanya.
Tunajua kuwa wewe ni mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi,hivi ikija kutokea CCM ikafa,je wewe hautodumu?
 
- Well, heshima yako mkuu hii kwenye siasa tunaita divide and rule, haina mashiko cause haina hii thread haina tija kwa taifa; Mh. Januari is a great friend, a great fella, smart, humble na very young for sure ni the future of this nation. He has all it takes kuwa effective leader wa this nation.

- Ninakubaliana na hoja zake na misimamo yake mingi sana politically, lakini kwenye hili la posho hatupo wote it is ok ndio Demokrasia, lakini otherwise I have a lot of respect for him hasa his works ninaamini kwamba given a chance huko mbele ya safari atalisaidia sana hili taifa, kwa sababu he can think solutions very quick, badala ya kusbiri upepo wa siasa au kuulizaa kwanza hiyo sio his style, ambayo ndio style ya politicians wetu wengi.

- HAVE A GOOD DAY BRO NA KIDUMU CCM!

William.

Wiliam badilisha hilo avatar lenye nguo ulioazima kwa baba yako unaonekana kama una miaka 90
 
Kwa Mimi ninayefuatilia Siasa za Tanzania kwa karibu kumlinganisha Mh. January Makamba na William Malecela, unakuwa hujamtendea haki kabisa Mh. January. William is a myopic opportunist politician with no VISION.

Tatizo la Makamba yuko kwenye li-Chama ambalo halitoa fursa kwa wanachama wake KUKOSOA pale inapobidi, mbaya zaidi li-Chama linalokumbatia UFISADI no wonder alim betray Zitto kwa kuto sign ile karatasi ya kutokuwa na imani na PM.
 
Ndugu yangu William hii mada ilikuwa inatuhusu sisi kuwalinganisha nyie wawili na si wewe kujibu kama ulivyofanya.
Tunajua kuwa wewe ni mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi,hivi ikija kutokea CCM ikafa,je wewe hautodumu?

- Yamekua haya sasa? ha! ha! ha! ha!, yaani chama tawala kife kwa vipi bro?


William.
 
Wiliam badilisha hilo avatar lenye nguo ulioazima kwa baba yako unaonekana kama una miaka 90

- Umenivunja mbavu, ninajua sana kwamba ndio tatizo hasa ila mnazunguka mbuyu tu, vipi watu! ha! ha! sasa unataka nivae gwanda la kuwindia? ha! ha! ha!, now I promise siji tena hii thread! ha! ha!


William.
 
yusufu makamba kambeba mwanae january makamba na kamfikisha juu kisiasa,john malecela amejaribu kumbeba william malecela lakini hajafanikiwa hadi sasa,.labda le mutuz habebeki
 
Please we need to have a mercy in our JF Servers by storing GT materials only.To me this is nonsense
 
Hello wana JF,

Kwa muda sasa nimekuwa nafuatilia hoja mbalimbali zinazotolewa na ndg yetu bw W. Malecela. Imefika mahali nikiri kwamba ninapata ukakasi kusoma hoja anazozitetea kama hili la posho za wabunge na kwmb wabunge ni watu muhimu zaidi ktk hili taifa. Historia ni mwalimu mzuri sana; hivyo ninaamini kwa kuwa huyu mtu ni mtoto wa mwanasiasa mkongwe na pia amepata exposure ya kutosha hoja zake zingekuwa na mashiko zaidi. Nimejikuta najaribu kumlinganisha na mwanasiasa kijana (January Makamba) na ambae pia ni mtoto wa mtu ambae amekuwa serikalini na kwenye chama kwa muda mrefu. Birds of the same feathers do flock together, kutokana na background yao, hopefully these people are friends and possibly learning from each other. Swali langu hapa ni je, twaweza kuwafananisha hawa watu? Willium na January. Lengo hapa ni kusaidiana ili kila mmoja atekeleze majukumu yake na kuepuka matusi yasiyo na lazima kutoka kwa raia wema.

Too many assumptions, not enough facts.
 
- Yamekua haya sasa? ha! ha! ha! ha!, yaani chama tawala kife kwa vipi bro?


William.
Najaribu tu kupata picha kama ilivyotokea Tunisia,maana kimbunga kinapokuja huwezi kukizuia.
Kwani huamini kuwa inaweza kutokea siku moja CCM ikafa?
 
Wiliam badilisha hilo avatar lenye nguo ulioazima kwa baba yako unaonekana kama una miaka 90


Hahahahahaha LOL! labda kazeeka ghafla baada ya kukosa KULA za ulaji kule katika Bunge la Afrika ya Mashariki
 
NILISHASEMA HILI NI GAMBA TENA LIMEPIGWA NA BARIDI KUTOKA USA,ANGALIA LINAVYOJIPENDEKEZA KILA KUKICHA KUPIGA PICHA NA WABUNGE RUDI USA UKAVUE SAMAKI.:baby:
 
NILISHASEMA HILI NI GAMBA TENA LIMEPIGWA NA BARIDI KUTOKA USA,ANGALIA LINAVYOJIPENDEKEZA KILA KUKICHA KUPIGA PICHA NA WABUNGE RUDI USA UKAVUE SAMAKI.:baby:

- I see hebu niacheni nipumzike bana! ha! ha! ha! ha!, mimi simo kwenye maandamano ya kwenda Clouds na m4ceee! ha1 ha! ha! ha!


William.

William
 
Back
Top Bottom