Willium Malecela Vs January Makamba

- I see hebu niacheni nipumzike bana! ha! ha! ha! ha!, mimi simo kwenye maandamano ya kwenda Clouds na m4ceee! ha1 ha! ha! ha!


William.

William

watoto wa viongozi Ccm mnajisikia sana ndo maana mnakuwa na dharau kwa watanzania, ila one day yes. Nafikili hata watoto wa Ben Al, Gadafi, Bagbo na Mubarak walikuwa wanajisikia kama wewe saiv. Ngoja mabadiliko yatokee Tanzania tuone mtakimbilia wapi. Nyie ndo wale wale as son as father.
 
Makamba ni oppotunist,anajifanya anajua kumbe wapi..fisadi mwenye ambition na wizara ya madini.LE MUTUZ hajui siasa,yeye anaishi kula kupitia jina la babaye,.pedezhee hana tofauti na Kinje na Papaa msofe
 
politicians need to engage with the public..ukiwa hutaki kuongea na wananchi, either wakusifu au waku criticise unachukua yote ndio maisha. The good thing about malecela or zitto kabwe na wengineo ni kwamba wanajichanganya na public so they score political points. Leo hii i dont know what makamba stands for but i know what malecela stands for kwa jinsi anavyochangia mada humu ndani. If leo hii malecela na makamba wakiwa wanagombania nafasi ya uongozi na nikaambiwa i had to vote for one of them..i would go for malecela simply coz i know at least some of the things he stands for...huyo mwingine ni kama vile fiction...he doesnt exist
 
- I see hebu niacheni nipumzike bana! ha! ha! ha! ha!, mimi simo kwenye maandamano ya kwenda Clouds na m4ceee! ha1 ha! ha! ha!


William.

William

Shame on you William, hivi USA ulikuwa unasoma au unaosha magari kwani kama ni elimu haijakusaidia kabisa. Sidhani kama January Makamba anaweza kutoa majibu ya ki-puuzi kama haya ya kwako.
 
Hello wana JF,

Kwa muda sasa nimekuwa nafuatilia hoja mbalimbali zinazotolewa na ndg yetu bw W. Malecela. Imefika mahali nikiri kwamba ninapata ukakasi kusoma hoja anazozitetea kama hili la posho za wabunge na kwmb wabunge ni watu muhimu zaidi ktk hili taifa. Historia ni mwalimu mzuri sana; hivyo ninaamini kwa kuwa huyu mtu ni mtoto wa mwanasiasa mkongwe na pia amepata exposure ya kutosha hoja zake zingekuwa na mashiko zaidi. Nimejikuta najaribu kumlinganisha na mwanasiasa kijana (January Makamba) na ambae pia ni mtoto wa mtu ambae amekuwa serikalini na kwenye chama kwa muda mrefu. Birds of the same feathers do flock together, kutokana na background yao, hopefully these people are friends and possibly learning from each other. Swali langu hapa ni je, twaweza kuwafananisha hawa watu? Willium na January. Lengo hapa ni kusaidiana ili kila mmoja atekeleze majukumu yake na kuepuka matusi yasiyo na lazima kutoka kwa raia wema.

huyo william malecela na j makamba wote walewale wapo kwenye system na wote wameishi marekani
 
- Well, heshima yako mkuu hii kwenye siasa tunaita divide and rule, haina mashiko cause haina hii thread haina tija kwa taifa; Mh. Januari is a great friend, a great fella, smart, humble na very young for sure ni the future of this nation. He has all it takes kuwa effective leader wa this nation.

- Ninakubaliana na hoja zake na misimamo yake mingi sana politically, lakini kwenye hili la posho hatupo wote it is ok ndio Demokrasia, lakini otherwise I have a lot of respect for him hasa his works ninaamini kwamba given a chance huko mbele ya safari atalisaidia sana hili taifa, kwa sababu he can think solutions very quick, badala ya kusbiri upepo wa siasa au kuulizaa kwanza hiyo sio his style, ambayo ndio style ya politicians wetu wengi.

- HAVE A GOOD DAY BRO NA KIDUMU CCM!

William.
Katika RED nadhani ni mtazamo wake! Weka kule!
 
- Mh. Januari is a great friend, a great fella, smart, humble na very young.

Mkuu W. J. Malecela,
Yani hapa ndipo unaponiachaga hoi! Yani wewe kila mtu kwako ni Great friend, smart na ni humble! Hata wale machangudoa uliopiga nao picha Club na wenyewe umedai ni Great friend, smart na humble! Kiusema kweli hii tabia ya kujigonga kwa kila mtu unajidai ni Great Friend wako haitakusaidia kwenye safari yako ya kisasa..

TUMBIRI wa JF,
tumbiri@jamiiforums.com
 
Last edited by a moderator:
Ninachojua tu ni kwamba wote wawili wana viingereza mbofu mbofu
 
Back
Top Bottom