William Ngeleja - Waziri Anayetuhumiwa kwa Wizi!

Hawa mawaziri 8 wachuliwe hatua za kesheria na mali zao zifilisiwe ili wananchi warudishe imani kwa serikali yetu na pia iwe fundisho kwa mawaziri watakaochaguliwa
 
Hata yote kikwete anajua ....mi nadhani kikwete angekuwa anachukulia hatua watu wake tusingefika huku....ndiyo maana "sitta alimwambia kikwete angekuwa mkali kidogo" alimaanisha kikwete ni legheleghe......sasa tatizo la kikwete kutoichukua hatua ni kwa sababu yeye binafsi anaubia na ufisadi wote unaofanywa na mawaziri wake kwani kwa nnavyomfahamu kikwete tena kwa kiwango chake cha visasi hawezi kumwacha waziri anajichotea bila kumfanyia zengwe...............ndiyo maana kikwete alishiriki kikamilifu kuasisi richmond ili wajichotee mil 152 kila siku............mimi sioni tatizo lolote kwa waziri anayeiba ila naona tatizo kwa rais ambaye huwanyamazia wafujaji kwa sababu yeye binafsi ni mchafu,,,,,,,,,,,,,,,,,jamani nchi ina rais mzigo na hili ndilo tatizo la watz...mawaziri wanatakiwa kuoneshwa njia kwa vitendo sasa km vitendo vya kikwete ni kuiba unafikiri waziri atafuata maneno au matendo?
 
Nnashkuru kwa ujasiri wako wa kuanika kila kitu hadharani japo nnamashaka na uwezo wako wa kuthibitisha kauli yako pindi itakapohitajika...Pamoja na hayo nnahakika wewe sio kichaa kwaiyo unasource zako za kuaminika, achilia mbali tetesi japo nazo zinahuka kwa sehem flani
 
Kwanza naomba niwataarifu kuwa jengo hilo limefika ghorofa ya tisa pamoja na underground parking.wanaosema tano huenda waliliona kabla halijaisha.Anayesemwa mmiliki wa jengo hilo(JOKANDOM) yaani Joseph Kando Mkama ni kijana,kwa umri huenda anazidiwa na Ngeleja.Anatoka sengerema kijiji jirani na ngeleja.Hivi sasa ni diwani ktk kijiji hicho kwa tiketi ya ccm.Huyu bwana baadad ya biashara ya samaki kudorora alianza biashara ya kununua na kuuza nyumba.sidhani kama huyu bwana ana uwezo wa kujenga jengo la ghorofa tisa.wanaosema ni bilionea ni waongo
kwani huyu bwana hivi karibuni alitaka kununua nyumba na 44 'o' katikati ya jiji iliyokuwa inauzwa sh mil 580 .Alitapeli na kuuziwa na mahakama sh mil 54 wenyewe walipogundua mahakama kuu ikaamua yeye na hakim mmoja anaitwa masesa wakamatwe na kvshtakiwa kwa utapeli
 
Kwanza naomba niwataarifu kuwa jengo hilo limefika ghorofa ya tisa pamoja na underground parking.wanaosema tano huenda waliliona kabla halijaisha.Anayesemwa mmiliki wa jengo hilo(JOKANDOM) yaani Joseph Kando Mkama ni kijana,kwa umri huenda anazidiwa na Ngeleja.Anatoka sengerema kijiji jirani na ngeleja.Hivi sasa ni diwani ktk kijiji hicho kwa tiketi ya ccm.Huyu bwana baadad ya biashara ya samaki kudorora alianza biashara ya kununua na kuuza nyumba.sidhani kama huyu bwana ana uwezo wa kujenga jengo la ghorofa tisa.wanaosema ni bilionea ni waongo
kwani huyu bwana hivi karibuni alitaka kununua nyumba na 44 'o' katikati ya jiji iliyokuwa inauzwa sh mil 580 .Alitapeli na kuuziwa na mahakama sh mil 54 wenyewe walipogundua mahakama kuu ikaamua yeye na hakim mmoja anaitwa masesa wakamatwe na kvshtakiwa kwa utapeli
 
uko sawa kabisa!!!!!!!!!!!!!!
ila sio kwa kuiba. Kelele zilizopo ni kuwa hawa wanaiba , kwa hiyo hawafanyi hayo kwa vipato vyao halisi. kumbuka fedha haramu ndizo pia zinasababisha mfumko wa bei, maana watu wezi wanaogopa kuweka pesa benki kwa hofu ya kuulizwa wametoa wapi, matokeo yake wananunua vitu kwa bei yoyote ile ili mradi pesa iishe na kumbuka kwa 7bu ni wizi hawana uchungu nayo.

Hivi hamjiulizi kwa utajiri gani walionao WATZ eti wanauziana kiwanja cha kujenga nyumba milioni moja, mbili, tatu, nne, kumi mpaka milioni mia tano. Pesa wametoa wapi kama sio za wizi wanataka watumie haraka haraka ziishe. Na kibaya zaidi hawa wezi hawawafaidishi WATZ, ila wengine wanapeleka mabenki ya ulaya halafu serikali ya TZ inaenda kukopa pesa hizohizo kule ulaya...zikifika bongo wanazirudisha ulaya badala ya kujenga viwanda bongo

NAOMBA WALE MLIO IBA PESA YA UMMA NA HAMJAKAMATWA, BASI JENGENI VIWANDA MTUAJILI WATZ WENZENU NA NINYI MUWE MATAJIRI ZAIDI VINGINEVYO MTAKUFA MASKINI NA MAPESA YENU YATALIWA NA NONDO, TUNUNTU na MCHWA



pole mkuu...mh RAIS anawafahamu wote lakini amewapa muda wajirekebishe.
 
da aisee si mchezo....lakini anapendezesha mji wake bana Mwanza si ndo kwao bana he he he he he
 
mnaangalia mawaziri2, wananchi wengine hamuwaangalii?
Wewe umemwelewa mwenye hoja ana issue na nini? Hakuna yeyote anaye-question utajiri wa mtu kwa sababu wote tunatafuta maisha mazuri. Problem ni hawa mafisi wezi wanaotumia hela yetu kujitajirisha na huku sisi tunaendelea kutumia vibatari.
 
Kama ni kweli lake inapaswa achukuliwe hatua za kisheria kwakuwa kwa akili ya kawaida tu ya kuambiwa kabla hata ujachanganya na yako, KWANINI AFICHE JINA LAKE KAMA MMILIKI HALALI WA HEKALU HILO? FIKIRIA KWA MAKINI KISHA CHUKUA HATUA!.
 
Tutaona kama makada watafikishwa mahakamani...na chama kitachafuka?sidhani lazima walindwe kwa nguvu zote hawa wasichafue chama!
 
Wow, post 2015 tutajua mengi sana. kwa sasa magamba yenzao yanawafunika funika! Tanzania tamu itaanza Nov 2015 na kuendelea!
 
Back
Top Bottom