only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Kwenye profile ya Tanuru la fikra kule FB kaandika haya, namnukuu
"........W'S EXPERIENCE: Hatimaye jana gazeti moja limetoa mahesabu ya Chadema, na jinsi wanavyogawiana mapesa ambayo haijulikani yanatokea wapi, wabunge wao wanalipwa kodi zetu bungeni, na huko kwenye chama kumbe wanachota mapesa as they want na halafu ni wote, wakiongozwa na Komu, kama vipi nitazileta hapa the dataz, kwa wakombozi wa wananchi inaogopesha sana. MNACHOLILIA NI POWER TU LAKINI KWAMBA MTAKUWA TOFAUTI, SI KWELI!! - LE WILLIE!!"
My take:
Huyu jamaa kakimbia hapa JF kwa muda sasa, kaamua kwenda FB kueneza umbea na utoto wake, ni mtu mzima ila ana hoja za kitoto sana.
FYI: William J. Malecela was born 1962!
"........W'S EXPERIENCE: Hatimaye jana gazeti moja limetoa mahesabu ya Chadema, na jinsi wanavyogawiana mapesa ambayo haijulikani yanatokea wapi, wabunge wao wanalipwa kodi zetu bungeni, na huko kwenye chama kumbe wanachota mapesa as they want na halafu ni wote, wakiongozwa na Komu, kama vipi nitazileta hapa the dataz, kwa wakombozi wa wananchi inaogopesha sana. MNACHOLILIA NI POWER TU LAKINI KWAMBA MTAKUWA TOFAUTI, SI KWELI!! - LE WILLIE!!"
My take:
Huyu jamaa kakimbia hapa JF kwa muda sasa, kaamua kwenda FB kueneza umbea na utoto wake, ni mtu mzima ila ana hoja za kitoto sana.
FYI: William J. Malecela was born 1962!