William Malecela: JK is Africa's Diplomatic Genius

William Malecela: JK is Africa's Diplomatic Genius

Sasa anayeleta porojo nani kati yangu mimi na wewe? Hakika, hikindicho nilichotegemea kutoka kwako, nothing more, kwa kuwa najua huna source yakueleweka ya takwimu zako za 34%. Hizi utakuwa umejitengenezea wewe mwenyewe.Leta source dada, leta source, kwani zitasaidia sana hasa kwenye chambuzimbalimbali. Source inaweza kuwa yeyote ile: TANESCO, REA, NBS, World Bank, etc.Huwezi andika kama msomi kwa kutoa statistics, tena kubwa, 34%, halafuunathibitisha source kwa picha, what a joke!! Naridia, access Tanzania ni 14% kwa sasa. Njoo na picha hata 1,000 lakini huu ndio ukweli na kama nimgumu kuukubali basi nyamaza kimya usidanganye watu hapa JF.


Uwezo wa JK unaakisiwa vilivyo na wanaomtetea! Watanzania tunategemea umeme kutoka kwa Obama. Nakumbuka jinsi Nyerere alivyopiga kelele kuwa tusitegemee mjomba toka nje kutusaidia lakini siku hizi sera ni kuomba kwa mtindo mmoja. Na tukishaomba tunajitapa - kwamba sisi zaidi. Nyerere must be turning in his grave!!
 
Sasa anayeleta porojo nani kati yangu mimi na wewe? Hakika, hikindicho nilichotegemea kutoka kwako, nothing more, kwa kuwa najua huna source yakueleweka ya takwimu zako za 34%. Hizi utakuwa umejitengenezea wewe mwenyewe.Leta source dada, leta source, kwani zitasaidia sana hasa kwenye chambuzimbalimbali. Source inaweza kuwa yeyote ile: TANESCO, REA, NBS, World Bank, etc.Huwezi andika kama msomi kwa kutoa statistics, tena kubwa, 34%, halafuunathibitisha source kwa picha, what a joke!! Naridia, access Tanzania ni 14% kwa sasa. Njoo na picha hata 1,000 lakini huu ndio ukweli na kama nimgumu kuukubali basi nyamaza kimya usidanganye watu hapa JF.


Uwezo wa JK unaakisiwa vilivyo na wanaomtetea! Watanzania tunategemea umeme kutoka kwa Obama. Nakumbuka jinsi Nyerere alivyopiga kelele kuwa tusitegemee mjomba toka nje kutusaidia lakini siku hizi sera ni kuomba kwa mtindo mmoja. Na tukishaomba tunajitapa - kwamba sisi zaidi. Nyerere must be turning in his grave!!

Kweli Mkuu! Siui tunakwenda wapi!! Hii inanyesha uwezo mdogo sana baadhi yetu tulionao.
 
Ukishazoea kuishi kwa kutegemea teuzi ujue lazima utaandika hata upumbav ili walau bwana wako asome maana huwez jua labda ndio ngazi ya kupandia!
Kila la kheri kwenye kuwania ukuu wa mikoa!

Eti policies nzuri ila watu aliowateua ndio walikua wabovu?! Mtu mbovu huteua watu wabovu, na bahat nzur aliteua marafiki zake which in turn defines him as well!
 
mzawadie mkeo

nenda ww si mmezoea kupewa vizawadi nasikia ushahamia chalinze kumuimbia mwanawe muuza unga kisa umepewa kofia na T-shirt then 7000/= Tshs kwisha kazi mpe 0713 basi
:busu:busu
 
Sasa anayeleta porojo nani kati yangu mimi na wewe? Hakika, hikindicho nilichotegemea kutoka kwako, nothing more, kwa kuwa najua huna source yakueleweka ya takwimu zako za 34%. Hizi utakuwa umejitengenezea wewe mwenyewe.Leta source dada, leta source, kwani zitasaidia sana hasa kwenye chambuzimbalimbali. Source inaweza kuwa yeyote ile: TANESCO, REA, NBS, World Bank, etc.Huwezi andika kama msomi kwa kutoa statistics, tena kubwa, 34%, halafuunathibitisha source kwa picha, what a joke!! Naridia, access Tanzania ni 14% kwa sasa. Njoo na picha hata 1,000 lakini huu ndio ukweli na kama nimgumu kuukubali basi nyamaza kimya usidanganye watu hapa JF.

Kaka hao ndio waliolishwa unga wa ndere kwake picha ya watu wanaocheza mpira ni data, mwisho ataleta picha za rais akiwa faragha kama data ya kiongozi mchapakazi ndo matatizo ya shahada zinazopatikana kwa rushwa hasa ya ngono
 
Ukishazoea kuishi kwa kutegemea teuzi ujue lazima utaandika hata upumbav ili walau bwana wako asome maana huwez jua labda ndio ngazi ya kupandia!
Kila la kheri kwenye kuwania ukuu wa mikoa!

Eti policies nzuri ila watu aliowateua ndio walikua wabovu?! Mtu mbovu huteua watu wabovu, na bahat nzur aliteua marafiki zake which in turn defines him as well!

kweli mkuu kama naibu waziri wake tena wa elimu alisema Tanzania ni muungano kati ya Tanganyika na Zimbabwe huko mashuleni kukoje ndipo wanapotka hawa vilaza waliofundisha wimbo mmoja tu kumsifia mfalme juha mapinduzi kama ya ufaransa yanahitajika kuinusuru nchi hii
 
RTC ,ATC ,NBC na mashirika mengi yamekufa kabla J.K hajatinga ikulu naweka rekodi sawia!
=TEKNOLOJIA;9020552]The guy is extremely good at kowtowing to high level political leaders and top government officials in order to get what he wants.Hongera Le Mutuz you have made the first move now it's up to Baba Riz to respond.I hope 2015 will be good for you.But i applaude you for showing great skills at bending over to Mheshimiwa.Good job Le Mutuz but don't forget that this once was a beautiful nation to live have witnessed a collapse of RTC,ATC as well as unprecedented hiking inflation which hurt so many people especially middle-class under JK watch.Sadly you didn't talk about them.[/QUOTE]
 
Kaka hao ndio waliolishwa unga wa ndere kwake picha ya watu wanaocheza mpira ni data, mwisho ataleta picha za rais akiwa faragha kama data ya kiongozi mchapakazi ndo matatizo ya shahada zinazopatikana kwa rushwa hasa ya ngono

Unajua kaka watu kupitia JF kuna mambo mengi wanategemea kupata ikiwa ni pamoja na elimu na taarifa. Sasa takwimu zikiwa za uongo,inakuwa mbaya, tena sana.
 
William is so much Mburula. The guy is empty upstairs, zaidi ya kusifia wanaume wenzake na kuuza madem. He is nothing.
I am ready to give him a car Corola if he can prove that he authored this. Maana I see some editor or high ranking government official writing this. It has been written by someone very brilliant
 
Eti ni kweli mkuu ze utamu ilikuwa yako?dah
 
Kwamba jamaa aliyekuwa anamtukana JK kwenye Ze Utamu Leo anamsifia hadharani!! Chezea njaa weye...
Sio hilo tu, ukitazama post za jamaa kwene miaka ya 2006 / 2007 hapa JF (enzi hizo Jamboforums) na habari / threads zake kutoka jikoni yaani CC/NEC jinsi alivokua akiripoti it was as if nchi inaungua moto and we should all stop doing whatever we were doing and ..lakini nirejee tu ulichosema #Njalambaya
 
Sio hilo tu, ukitazama post za jamaa kwene miaka ya 2006 / 2007 hapa JF (enzi hizo Jamboforums) na habari / threads zake kutoka jikoni yaani CC/NEC jinsi alivokua akiripoti it was as if nchi inaungua moto and we should all stop doing whatever we were doing and ..lakini nirejee tu ulichosema #Njalambaya

kaka umenichekesha kweli kwa hilo neno ulilo li-hashtag.....ni kinyumbani (kingoni) hasa. #Njala_Likoko .lol
 
What has he done? Miserably failing to protect the Constitution of the United Republic of Tanzania by allowing Zanzibaris to break it? And starting an unconstitutional process of writing a new constitution? I tell you history will never forgive him.

Democracy
 
summary:nitagombea ubunge mtela via ccm mwenyekiti nilinde
 
Back
Top Bottom