William Lukuvi na Profesa Kabudi bado wapo Ikulu?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2023
5,372
7,363
Wakati Rais akiwaapisha viongozi aliowateua, alisema aliwaacha Kabudi na Lukuvi kwa lengo la kuwavuta jirani naye kwa lengo la kumsaidia kazi maalum Ikulu.

Ilionekana kama hayo majukumu yangekuwa mazito zaidi na ya heshima zaidi kuzidi ya uwaziri. Hii ni kwa sababu walikuwa wawe "viranja" wa mawaziri!

Miaka miwili imeshapita tokea Rais aliseme hilo, 2022. Lakini hao "waheshimiwa" wamekuwa kama vile "wamepotea" kwenye medani za kisiasa. Hawasikiki tena! Ni afadhali na walivyokuwa mawaziri.

1. Ni kweli majukumu yao kwa sasa ni ya kuwasimamia mawaziri?

2. Hayo majukumu yanamnufaisha nani? Taifa? Rais? Wanasiasa? Wao binafsi?

3. Wao binafsi wananufaikaje na hizo nyadhifa mpya zisizotambulika kikatiba?

4. Kukubali kwao hayo majukumu mapya ambayo yamewafanya wasiwe wanasikika sana kama walivyokuwa mawaziri si sawa na "kujinyonga" kisiasa?

 
Hao ni wabunge wa majimbo, ndio kazi waliyoomba na wanawajibika kwa wananchi wa majimboni kwao.
 
Kwa tulisoma cuba tushajua walipo kwa sasa kisiasa.
Tanzania ni kubwa.
 
Wakati Rais akiwaapisha viongozi aliowateua, alisema aliwaacha Kabudi na Lukuvi kwa lengo la kuwavuta jirani naye kwa lengo la kumsaidia kazi maalum Ikulu.

Ilionekana kama hayo majukumu yangekuwa mazito zaidi na ya heshima zaidi kuzidi ya uwaziri. Hii ni kwa sababu walikuwa wawe "viranja" wa mawaziri!

Miaka miwili imeshapita tokea Rais aliseme hilo, 2022. Lakini hao "waheshimiwa" wamekuwa kama vile "wamepotea" kwenye medani za kisiasa. Hawasikiki tena! Ni afadhali na walivyokuwa mawaziri.

1. Ni kweli majukumu yao kwa sasa ni ya kuwasimamia mawaziri?

2. Hayo majukumu yanamnufaisha nani? Taifa? Rais? Wanasiasa? Wao binafsi?

3. Wao binafsi wananufaikaje na hizo nyadhifa mpya zisizotambulika kikatiba?

4. Kukubali kwao hayo majukumu mapya ambayo yamewafanya wasiwe wanasikika sana kama walivyokuwa mawaziri si sawa na "kujinyonga" kisiasa?

Ilikuwa ni njia tu ya kuwapiga chini kiaina .... walivimba vichwa sana wakati wa JPM.
 
Wakati Rais akiwaapisha viongozi aliowateua, alisema aliwaacha Kabudi na Lukuvi kwa lengo la kuwavuta jirani naye kwa lengo la kumsaidia kazi maalum Ikulu.

Ilionekana kama hayo majukumu yangekuwa mazito zaidi na ya heshima zaidi kuzidi ya uwaziri. Hii ni kwa sababu walikuwa wawe "viranja" wa mawaziri!

Miaka miwili imeshapita tokea Rais aliseme hilo, 2022. Lakini hao "waheshimiwa" wamekuwa kama vile "wamepotea" kwenye medani za kisiasa. Hawasikiki tena! Ni afadhali na walivyokuwa mawaziri.

1. Ni kweli majukumu yao kwa sasa ni ya kuwasimamia mawaziri?

2. Hayo majukumu yanamnufaisha nani? Taifa? Rais? Wanasiasa? Wao binafsi?

3. Wao binafsi wananufaikaje na hizo nyadhifa mpya zisizotambulika kikatiba?

4. Kukubali kwao hayo majukumu mapya ambayo yamewafanya wasiwe wanasikika sana kama walivyokuwa mawaziri si sawa na "kujinyonga" kisiasa?
Keep your enemy closer
 
Unaposoma taarifa za uteuzi na utenguzi wa mawaziri au viongozi mbalimbali unapaswa ujifunze kitu kinaitwa "...Read Between The Line.."
 
Wapo ikulu wanakula maisha.

Fisiem ni fisiem TU

Kazi ni kipimo cha UTU
 
Back
Top Bottom