hamtaki? mbona mmepiga kimya!
Hamna mabadiliko hata baada ya kurudia mara tatu! Kama ni ushirikina basi umeshindwa kufanya kazi kwangu maana nalindwa na Mungu wa Israel, na Israel uchawi haufanyi kazi!
(Hata kama huamini habari ndio hiyo!)
Same here...Hamna mabadiliko hata baada ya kurudia mara tatu! Kama ni ushirikina basi umeshindwa kufanya kazi kwangu maana nalindwa na Mungu wa Israel, na Israel uchawi haufanyi kazi!
(Hata kama huamini habari ndio hiyo!)
Ewaaa labda atufafanuliesehemu yenye uwaz ndo ip?