Will you marry a jobless man? Toa maoni yako

Will you marry a jobless man? Toa maoni yako

Wewe sasa ndio unachanganya madesa, mada imesema ni "job less" it means hana kazi yoyote hata ya kuponda kokoto. Maana mponda kokoto tayari sio job less huyo.

Na kuwaza kwa niaba ya mtu ni tatizo babu, wapi kuna mtu kaongelea kwenda ofisini kwa mkoloni?
Unaelewa maana halisi ya jobless practically au una bwatuka kwa kuleta madesa yako hapa..!
 
Kwingine ukiuliza swali kama hili hata haelewi umeuliza nini afadhali umeliuliza JF.

Sisi wamasai ukishakuwa Moran ukaweza kumaliza mafunzo yako ya porini ya kuua simba(TANAPA mtatusamehee) basi unapewa mkeo na n'gombe zako kadhaa.

Huyo mwanamke hajui jobless ni nini wala job ni nini na sio kila mmoja anapewa n'gombe wengine wanajiongeza wenyewe.
 
Wanawake wabinafsi sana. Na mi niulize... is it right to marry a jobless woman?
Sio ubinafsi ni nature, Adam alikuwa na allmost kila kitu kasoro Eva tu, ndio akaumbiwa Eva. Mjifunze hapo.
 
Kwingine ukiuliza swali kama hili hata haelewi umeuliza nini afadhali umeliuliza JF.

Sisi wamasai ukishakuwa Moran ukaweza kumaliza mafunzo yako ya porini ya kuua simba(TANAPA mtatusamehee) basi unapewa mkeo na n'gombe zako kadhaa.

Huyo mwanamke hajui jobless ni nini wala job ni nini na sio kila mmoja anapewa n'gombe wengine wanajiongeza wenyewe.
Hao ng'ombe tayari ni job ya kukutosha.
 
Cha kwanza hakuna mwanaume hasiye na kazi ila sema wengi wenu huwa mnachaguwa mwana mume mwenye kazi fulani maalumu na mwenye kipato kikubwa kutokana na tamaa zenu za kupenda fahari .mwisho wa siku hela ni matokeo ya kazi fulani maalumu
 
Mkipataga vikazi huwa mnasumbuwa saana eeeh kabla hujafikiria mwana umekufanyia nini wewe jiulize kwanza umemfanyia nini mwana ume ?kwisha habari yako
 
Kwingine ukiuliza swali kama hili hata haelewi umeuliza nini afadhali umeliuliza JF.

Sisi wamasai ukishakuwa Moran ukaweza kumaliza mafunzo yako ya porini ya kuua simba(TANAPA mtatusamehee) basi unapewa mkeo na n'gombe zako kadhaa.

Huyo mwanamke hajui jobless ni nini wala job ni nini na sio kila mmoja anapewa n'gombe wengine wanajiongeza wenyewe.
Ushawahi kuua simba?
 
Back
Top Bottom