Will the real Paul Makonda please stand up?


Hahahaaa...I don't even know what to make of anything anymore.

Gwajima kadai vyeti anavyo lakini sasa naona kiki yake ishaisha.

So ngoja tusubiri hiyo kesi kama kweli itafunguliwa.
 
Mahakama ishaambiwa kuna mhimili uliochimbiwa chini zaidi tayari.
Wale wanajitambua tofauti na wale ma-bro wanaokutananga DOm pale mjengoni. Wamesemewa ovyo, lakn mpaka sasa wapo kimyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyya
 

Ngabu mbona unajifanya hujui taratibu

Criminal investigation yoyote Police ndo wana mamlaka ya kutuambia ukweli

Anaepaswa kulazimisha kutueleza ukweli hapa ni IGP na Police kwa ujumla

wao ndo wenye uwezo wa kumuomba Makonda au muajiri wake vyeti na kuvipeleka
baraza la mitihani na wizara ya elimu na kutoa tamko la kipi uongo kipi ukweli

wao ndo waseme hizi ttuhuma sio za kweli au ni za kweli wamchukulie hatua
 
...
So will the real Paul Makonda please stand up...?

I repeat, will the real Paul Makonda please stand up...?

Nimeuliza hilo swali mara kadhaa, wanaJF wanaandika tu Bashite, Bashite, Bashite, Vyeti, Vyeti, Vyetiiii!

Hivi wanaJF wanaodai vyeti wana akili timamu!

Na hao wazazi, ndugu na jamaa wa Daudi Bashite nao kwa nini hawafunguki!

Waliombatiza Daudi na Paulo, mbona hatuwaulizi kutwambia kama hao ni watu wawili tofauti au ni mtu mmoja wa majina mawili!

Maswali mengi yasiyo na majibu ila ukweli unabaki wanaJF wamekubali uzushi kwa sababu ambazo kila mmoja anazijua
 
But where is that proof though?
Watu wameenda kijijini kwao wamehoji ndugu zake, walimu, etc. Wakasema wanamjua mtu anayeitwa Paul Makonda kama Daudi Bashite. Hukombele kaungaunga majina mpaka kaja kutokea kuwa Paul Makonda. Ndiyo tuhuma hizo.

Yeye anatakiwa kukanusha kwa kuita watu wake aliokua naye, walimu,ndugu, wachungaji etc, watakaomshuhudia kwamba kakua kwao kama Paul Makonda.
 
The real Paul Makonda is the one and only Paul Makonda, aliyesoma Moccobs, akateuliwa DC na sasa ni RC, mengine yote ni uongo mtupu!.

Ila huko nyuma kuna mtu aliitwa Daudi Albert Bashite, huyu alizaliwa Kolomije, akasoma Kolomije na kumalizia Nyanza. Akafeli la saba, lakini akafanya maarifa akasoma Pamba sekondari ya serekali, alipomaliza form IV alipata zero, na hadithi ya Daudi Bashite ikaishia hapo.

Kukatokea mtu anayeitwa Paul Christian M, ambaye alisoma Chuo cha Nyegezi, baadae Mbegani na mwisho Muccobs, kwenye hayo majina ya Paul Christian M, ndipo kwenye M, likaongezewa jina laMakonda, hivyo Paul Christian Makonda is one and only.

Paskali
 

Bossman, hujui kuwa kuna Fourth Estate pia?

Role ya Fourth Estate hapa kwenye hili suala wewe unaionaje? Umeridhika nayo?
 
Ila Paul Christian Muyenje sijui............ yupo?
Hujui huyu nae ni mtuhumiwa?Unadhani ataacha kuhojiwa?

Jiulize pia ni kwanini Maafisa Elimu huko Kolomije walikuwa wanashindwa kutoa taarifa kwa waandishi wa Mwanahalisi waliofika huko kuchunguza sakata hili?
 

Hahahaha ngoja tusubirie hilo picha...

Ila sidhani kama atakuwa mjinga kihivyo... maana anajua dhahiri kabisa kuwa kama ni kweli alimuuzia Daudi cheti chake, na yeye pia hatasalimika...

Kama kweli yupo huenda anaogopa kifungo, au Daudi kashamwambia asije akathubutu kujitokeza.

Vinginevyo... labda hayuko hai...
 
Mange KASEMA au sio??
 
Kaka wa huyo Makonda alikuwa Mkurugenzi pale Kagera lakini alitumbuliwa last year.Sasa kama una uhakika na utimamu wa akili zako basi fanya utafiti ukianzia hapo, inaweza kukusaidia ukawa promoted na kuitwa Dr Nyani Ngabu!
 

MsemajiUkweli hivi kaka tukiachana na vyeti hizi tuhuma za rC kumiliki haya magari ya tapco na nashaullliers ambao ni mtu mmoja huyu pia za kuchukulia rahisi rahisi hivi imefkia mahali basi sababu ya uchama hata kama baya likaliwe kimya au sababu tu mkilishughulikia mtampa kichwa mange ooohh come on bana
 
Majungu kazi sana ndio maana wanatapatapa tu
Hahaaaa,, kweli kabisa Majungu ni mzigo wa misumali ni lazima uhangaike nao ukijitwika kichwani.

Wanapiga kelele,, bila ushahidi wa Vyeti halisi vya huyo Makonda Halisi,, Gwajima alijaribu kutuaminisha kwamba ,,ATAUFUFUA MSUKULE ,, unaoitwa Paul Makonda ili uje useme kuwa wenyewe ndiyo Makonda halisi.,,Lakini hadi sasa hiv kimya kabisa.
 
Paul Makonda ni jina la kubumba na mbumbaji ni Daudi Albert Bashite baada ya kuchukua(I stand to be corrected) cheti cha Paul Christian Muyengi mtangazaji wa VOT FM (VOICE OF TABORA)

INASEMEKANA LAKINIIII

SHILAWADU NYIEEEEE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…