Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 930
- 1,408
Mkoa wa Morogoro wilaya za Malinyi ,Ifakara, Mahenge, Kilosa na Mvomero hakuna mafuta ya petrol wiki sasa, imefika tunashangaa hakuna tamko serikalini. Hii imeleta usumbufu mkubwa sana kwa wananchi.
Serikali imekaa kimya utadhani ni jambo la kawaida tu chukueni hatua.
Serikali imekaa kimya utadhani ni jambo la kawaida tu chukueni hatua.