luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,295
- 8,258
Ni nchi iliyoko huko KilimanjaroRombo ndo wapi huko ama ni wilaya mpya
Sio kweli wewe acha kusifia kwenu ati yaongoza kitaifa umeshawahi kwenda sehemu zingine nchi hii? Labda kama inaongoza kitaifa kwa kutengeneza na kunywa pombe ya mbege na kuwaacha wanawake nyumbani wakifanya kazi peke yao unajisifia wakati tunawajueni nyie.
Rombo ni wilaya ktk mkoa wa Kilimanjaro ilianzishwa 1975Rombo ndo wapi huko ama ni wilaya mpya
Exactly
Rombo is BAE...
Pôle Sana mcheza baikoko wa mkuranga, Hakuna popote nchi hii utakuta wilaya ina umeme vitongoji vyote kama sio ROMBO ndio maana ya 100% au huoni maandiko hapo?Sio kweli wewe acha kusifia kwenu ati yaongoza kitaifa umeshawahi kwenda sehemu zingine nchi hii? Labda kama inaongoza kitaifa kwa kutengeneza na kunywa pombe ya mbege na kuwaacha wanawake nyumbani wakifanya kazi peke yao unajisifia wakati tunawajueni nyie.
Wilaya ya mkoa wa KilimanjaroRombo ndo wapi huko ama ni wilaya mpya
Tupige kelele tuna shida gani? Mtapiga kelele nyie maskini,sisi mkoa wetu ni wa pili kwa watu wake kuishi maisha bora,makaz bora,shule nyingi za sekondar,nkEnzi hizo, bazil mramba, cleopa msuya walikuwa wabinafsi sana wao umeme waliweka toka zamani mafungu mengi ya serikali walielekeza kwao wakiwa mawaziri wa fedha, waziri mkuu, etc. Leo tunaona maendeleo yakienda sehemu nyingine lakini macho naasikio yanapiga kelele kama antenna za tigo.
Acheni sfa huko mnabebwa na hai na mosh vjijinWahaya watabisha
Rombo ndo wapi huko ama ni wilaya mpya
Wivu tu.Acheni sfa huko mnabebwa na hai na mosh vjijin