luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,295
- 8,257
Habari za mchana wakuu,
Wilaya ya ROMBO mkoani KILIMANJARO ni wilaya pekee nchini ambayo kata zote, vijiji vyote na vitongoji vyote vina umeme
Haya ni maendeleo makubwa sana.
Hongereni ROMBO.
Nawasilisha
Wilaya ya ROMBO mkoani KILIMANJARO ni wilaya pekee nchini ambayo kata zote, vijiji vyote na vitongoji vyote vina umeme
Haya ni maendeleo makubwa sana.
Hongereni ROMBO.
Nawasilisha