Wikipedia page ya EAC imeandikwa kwa manufaa ya KENYA!

Wikipedia page ya EAC imeandikwa kwa manufaa ya KENYA!

msemakweli

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
1,627
Reaction score
880
Leo nimepata kusoma wikipedia page ya East African Community, na nimesikitishwa kwamba imeandikwa kwa kusifusifu Kenya. Nadhani sijakosea nikisema kwamba itakuwa imeandikwa na Mkenya. Naomba tushirikiane na mtu humu JF tuiedit na sisi tuitangaze nchi yetu huko nje kiutalii na fursa za uchumi! Wenzetu wanatumia ujanja huo kuitangaza nchi yao kwamba ndiyo kila kitu hapa Afrika Mashariki, lakini naamini na sisi tukiamka hawatuwezi! Wazalendo mpo?
East African Community - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Unacheza na Kenya walishawadanganya watalii mlima kilimanjaro upo Kenya.
 
Mbonaa huwa tunaiogopa kenya tu kwenye nchi zote za afrika????
 
Kwenye mitandao yote online hatupo,hata gazeti marufu la African Business ni Kenya tu
 
nimeisoma 2x hiyo link ya wikipedia,bado sijaona alicho gusia mleta mada.au kizungu changu kina mapungufu?!.mana sisi wengine tuliishia darasa la 7.
CC lawmaina78
 
Last edited by a moderator:
nimeisoma 2x hiyo link ya wikipedia,bado sijaona alicho gusia mleta mada.au kizungu changu kina mapungufu?!.mana sisi wengine tuliishia darasa la 7.
CC lawmaina78
Imefanyiwa editing na mimi ni mmoja wa watu tuliofanya editing mda sio mrefu. Nafurahi nilivyowea hii thread humu nikaenda kwenye hiyo page ya EAC kulikuwa na watu wawili wanaifanyia editing! Hapo kwenye section ya geography haikutaja kwamba mlima kilimanjaro uko Tanzania.
Hiyo sehemu ya economy pia inabidi tuibadilishe kwa vile bandari ya Bagamoyo itakuwa kubwa kuliko ya Lamu (correct me if i am wrong). Hilo lazima lionekane humo. (Upon completion, Bagamoyo port will be the largest in East Africa). Tusipuuze mambo kama haya. Watu wa nje huko wanatoaga info yao humu kwa hiyo ni vyema kuwa accurate!
 
Imefanyiwa editing na mimi ni mmoja wa watu tuliofanya editing mda sio mrefu. Nafurahi nilivyowea hii thread humu nikaenda kwenye hiyo page ya EAC kulikuwa na watu wawili wanaifanyia editing! Hapo kwenye section ya geography haikutaja kwamba mlima kilimanjaro uko Tanzania.
Hiyo sehemu ya economy pia inabidi tuibadilishe kwa vile bandari ya Bagamoyo itakuwa kubwa kuliko ya Lamu (correct me if i am wrong). Hilo lazima lionekane humo. (Upon completion, Bagamoyo port will be the largest in East Africa). Tusipuuze mambo kama haya. Watu wa nje huko wanatoaga info yao humu kwa hiyo ni vyema kuwa accurate!

job welldone comrade!.✔✔
Sir Yes Sir!.
 
nimeisoma 2x hiyo link ya wikipedia,bado sijaona alicho gusia mleta mada.au kizungu changu kina mapungufu?!.mana sisi wengine tuliishia darasa la 7.
CC lawmaina78

Duh! mnakoelekea sasa naona mass hysteria ya Wabongo wa JF, jameni mjihadhari sana maana msukumo wa damu ndio unaua sana siku hizi. Yaani kila mkiona jina Kenya damu inawakimbia sana.
Lakini mfahamu hatuendi kokote, tuko ujirani na nyie na tutapumuliana shingoni hadi mwisho wa dunia. Nimesema kwenye thread nyingine. Sisi Wakenya huwa hatujali chuki ama kuchukiwa, tumezoea, tunaenda hadi Somalia na kuuza bidhaa huku mabomu yakilipuka.
Yaani kila unapoibukia, unamkuta Mkenya keshafika. Hatutatua na hatushuki, uchumi wetu jana umetangazwa kuwa bora kiasi kwamba sisi ni mojawapo wa mataifa nne ukanda wa sub-saharan Afrika, GDP imepiga $50 billions. Yaani sasa ni noma, walahi omundu-khu-mundu hadi kieleweke.
 
Imefanyiwa editing na mimi ni mmoja wa watu tuliofanya editing mda sio mrefu. Nafurahi nilivyowea hii thread humu nikaenda kwenye hiyo page ya EAC kulikuwa na watu wawili wanaifanyia editing! Hapo kwenye section ya geography haikutaja kwamba mlima kilimanjaro uko Tanzania.
Hiyo sehemu ya economy pia inabidi tuibadilishe kwa vile bandari ya Bagamoyo itakuwa kubwa kuliko ya Lamu (correct me if i am wrong). Hilo lazima lionekane humo. (Upon completion, Bagamoyo port will be the largest in East Africa). Tusipuuze mambo kama haya. Watu wa nje huko wanatoaga info yao humu kwa hiyo ni vyema kuwa accurate!

safi sana mkuu.
 
Duh! mnakoelekea sasa naona mass hysteria ya Wabongo wa JF, jameni mjihadhari sana maana msukumo wa damu ndio unaua sana siku hizi. Yaani kila mkiona jina Kenya damu inawakimbia sana.
Lakini mfahamu hatuendi kokote, tuko ujirani na nyie na tutapumuliana shingoni hadi mwisho wa dunia. Nimesema kwenye thread nyingine. Sisi Wakenya huwa hatujali chuki ama kuchukiwa, tumezoea, tunaenda hadi Somalia na kuuza bidhaa huku mabomu yakilipuka.
Yaani kila unapoibukia, unamkuta Mkenya keshafika. Hatutatua na hatushuki, uchumi wetu jana umetangazwa kuwa bora kiasi kwamba sisi ni mojawapo wa mataifa nne ukanda wa sub-saharan Afrika, GDP imepiga $50 billions. Yaani sasa ni noma, walahi omundu-khu-mundu hadi kieleweke.

hahaha couldn't have said it better. omundu-khu-mundu hadi kieleweke..
 
Kama unatumia Wikipedia km search engine yako basi na wewe utakuwa mbulula tu....hii kila mtu anaweza kuweka utumbo wake...jaribu google,bing...nk,nk...
 
Kama unatumia Wikipedia km search engine yako basi na wewe utakuwa mbulula tu....hii kila mtu anaweza kuweka utumbo wake...jaribu google,bing...nk,nk...

Mbona unachanganya mambo mkuu? Wikipedia sio search engine, ni Internet encyclopedia...!
 
Duh! mnakoelekea sasa naona mass hysteria ya Wabongo wa JF, jameni mjihadhari sana maana msukumo wa damu ndio unaua sana siku hizi. Yaani kila mkiona jina Kenya damu inawakimbia sana.
Lakini mfahamu hatuendi kokote, tuko ujirani na nyie na tutapumuliana shingoni hadi mwisho wa dunia. Nimesema kwenye thread nyingine. Sisi Wakenya huwa hatujali chuki ama kuchukiwa, tumezoea, tunaenda hadi Somalia na kuuza bidhaa huku mabomu yakilipuka.
Yaani kila unapoibukia, unamkuta Mkenya keshafika. Hatutatua na hatushuki, uchumi wetu jana umetangazwa kuwa bora kiasi kwamba sisi ni mojawapo wa mataifa nne ukanda wa sub-saharan Afrika, GDP imepiga $50 billions. Yaani sasa ni noma, walahi omundu-khu-mundu hadi kieleweke.
haki ya Mungu wewe si wa kawaida una upunguani fulani unachoandika huwa nashindwa kujua huwa unafikiria nini siku zote kama hako kanchi kako kako hivyo kwanini GDP yake isingekuwa >$100 billion?
 
Leo nimepata kusoma wikipedia page ya East African Community, na nimesikitishwa kwamba imeandikwa kwa kusifusifu Kenya. Nadhani sijakosea nikisema kwamba itakuwa imeandikwa na Mkenya. Naomba tushirikiane na mtu humu JF tuiedit na sisi tuitangaze nchi yetu huko nje kiutalii na fursa za uchumi! Wenzetu wanatumia ujanja huo kuitangaza nchi yao kwamba ndiyo kila kitu hapa Afrika Mashariki, lakini naamini na sisi tukiamka hawatuwezi! Wazalendo mpo?East African Community - Wikipedia, the free encyclopedia
na ubadilishe GDP ya Tanzania officially from WB ni US$ 32 billion na si US$ 28 billion! Pia weka vitu kama largest unbroken cadera crator Ngorongoro, Only World flamingo breeding site iko Lake Natron Tanzania
 
Maneno mapya ya kiswahili ya matumizi ya computer wameyatengeneza wao si jui ni kikikuyu , sijui ni kijaluo? mfano ukitaka kuingia kwenye face book kwa kiswakili pas word wanaita NYWILA sijui wamepatia wapi hawa watu
 
Usisahau kusema ziwa victoria sehemu kubwa ipo Tanzania Kenya lipo kiduchu saa ukiweza pia asisahau kuweka ule mgogoro wa kisiwa cha (Migingo 2,000 square metre) baina ya Kenya na Uganda walivyotaka kutoana macho.

Leo nimepata kusoma wikipedia page ya East African Community, na nimesikitishwa kwamba imeandikwa kwa kusifusifu Kenya. Nadhani sijakosea nikisema kwamba itakuwa imeandikwa na Mkenya. Naomba tushirikiane na mtu humu JF tuiedit na sisi tuitangaze nchi yetu huko nje kiutalii na fursa za uchumi! Wenzetu wanatumia ujanja huo kuitangaza nchi yao kwamba ndiyo kila kitu hapa Afrika Mashariki, lakini naamini na sisi tukiamka hawatuwezi! Wazalendo mpo?
East African Community - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Back
Top Bottom