Wikileaks' release on Tanzania Tanzania; August 2011

Wikileaks' release on Tanzania Tanzania; August 2011

Status
Not open for further replies.
Ukisikia kuishiwa hoja ndio huku, pamoja na maskandali yote tunayoambiwa wamemkosa mkulu hadi wanaripoti vijizawadi vya nguo? Hii nayo tuiite ufisadi? Dossier ya Wikileaks ni kubwa pekueni mtuletee hoja za nguvu tujadili!
Kazi tunayo watanzania
 
Fungu la suti? pumba zingine hazina hata mpango!
 
Na bado. Mnakumbuka baada ya mauaji ya Nyamongo yule CEO wa ile kampuni ya madini alisema "mtanifanya nini. Mimi hata rais wenu nimemhonga." Halafu kuna watu wanathubutu kusema tumeishiwa kujadilia mambo kama haya. They are central to our predicament. Tuna rais aliyewekwa mfukoni na watu waliokuja kuinyonya Tanzania.
 
Haaahaaa! Dear Mr. President. Is what being said here true? I can't believe this because to be bought by a pair of suit, not only is a joke but also a cardinal sin against people you lead. They can cry for a curse because it is not a. Sin which could be left alone.
 
Cha ajabu ni nini:
sabodo.jpg

 
Na bado. Mnakumbuka baada ya mauaji ya Nyamongo yule CEO wa ile kampuni ya madini alisema "mtanifanya nini. Mimi hata rais wenu nimemhonga." Halafu kuna watu wanathubutu kusema tumeishiwa kujadilia mambo kama haya. They are central to our predicament. Tuna rais aliyewekwa mfukoni na watu waliokuja kuinyonya Tanzania.

Hii issue ni balaa. Kuna mzungu mmoja inasemekana anamiliki kitalu kule mugumu serengeti anashangaa WHAT KINDS OF LEADERSHIP THIS COUNTRY HAS. mzungu anamiliki kitalu????? alafu muulize watalii wangapi wanashuka hapo kwake kwa wiki....when I heard this I was in tears my fellow citizens
 
Na Katika saa nne asubuhi ya Jumamosi (27-08-2011) iliyopita timu nzima ya NCCR ilikuwa nyumbani kwa Mzee Sabodo, sijui waliambulia kitu? Wakiongozwa na Mbatia. Nasikia walienda kupiga mzinga wa 500,000,000/= .
 
FF kama mtoto yatima vile loh! Anyways, Rais tunae kwa kweli. Tuingize kwenye maajabu ya dunia Mang'ung'o wa karne ya 21, Wikileaks can help us in mobilizing votes across the globe
 
Cha ajabu ni nini:
sabodo.jpg

Bibie, naona umeishiwa. Unachojaribu kusema hapo ni nini? Huyu Sobodo alitoa hizo hela kwa Chadema kwa sababu kachoshwa na kule CCM inakopeleka nchi yetu tukufu. Lakini naelewa uko kazini.l
 
Hii issue ni balaa. Kuna mzungu mmoja inasemekana anamiliki kitalu kule mugumu serengeti anashangaa WHAT KINDS OF LEADERSHIP THIS COUNTRY HAS. mzungu anamiliki kitalu????? alafu muulize watalii wangapi wanashuka hapo kwake kwa wiki....when I heard this I was in tears my fellow citizens
Huyo ni Tudor. Kikwete huenda kule kupumzika.
 
Kweli lakuvunda halina ubani! Hizi nazo kali! Hata wanaomtetea waseme nini bado credibility ya mtu inashuka kwa kupenda vitu vya dezo! Mmmh, jamani hii mbona aibu! Na bado, akitoka madarakani kuna watu hawatatoa tena michango yao hapa maana zitaanza kutolewa single mpya ambazo bado ziko studio zinapikwa ili ziive
 
Halafu mnashangaa kwa nini Al Badawi kaahidiwa jengo la mahakama ya rufaa? Mwalimu aliwahi kusema rushwa ni adui wa haki. Tunayaona leo.
 
C O N F I D E N T I A L DAR ES SALAAM 000277<br />
<br />
SIPDIS<br />
<br />
DEPT FOR INR, R.EHRENREICH<br />
<br />
E.O. 12958: DECL: 02/13/2016<br />
TAGS: PGOV PREL TZ<br />
SUBJECT: KIKWETE CORRUPTION TIDBIT<br />
<br />
<br />
Classified By: Ambassador Michael Retzer, Reason 1.5 (d)<br />
<br />
¶1. (C) President Kikwete has accepted gifts (bribes) from<br />
the owner of the Kempinski Hotel chain,s Tanzanian<br />
properties, a citizen of the United Arab Emirates.<br />
<br />
¶2. (C) In a conversation with the manager and the publicity<br />
director of Dar Es Salaam,s Kilimanjaro-Kempinski Hotel<br />
hours after accompanying A/S Frazer to her October 18, 2005<br />
meeting with then-Foreign Minister Kikwete, I commented on<br />
Kikwete's flashy attire, asking &quot;Who dresses him?&quot; &quot;We do,&quot;<br />
they responded. Initially thinking this meant Kikwete<br />
frequented a men,s shop in the hotel, I learned later in<br />
the<br />
evening from hotel publicity director Lisa Pile (protect)<br />
that the hotel owner*UAE citizen Ali Albwardy*had recently<br />
flown Kikwete to London for a subsidized shopping<br />
expedition.<br />
Among other things, on that trip Ali Albwardy bought<br />
Kikwete<br />
five Saville Row suits. He had also recently made a $1<br />
million cash contribution to the CCM (which is a legal<br />
contribution under current Tanzanian law).<br />
<br />
¶3. (C) Pile told me the Kempinski Hotel chain is greatly<br />
expanding its presence in Tanzania. She said that in<br />
December it would open &quot;the best hotel in Zanzibar.&quot; Her<br />
prediction was a little off; the new Kempinski hotel,<br />
located<br />
on the beach on Zanzibar,s east coast, opened January 5. I<br />
attended the opening ceremony along with Zanzibari<br />
President<br />
Karume, who was asked publicly by Ali Albwardy for a site<br />
in<br />
Stone Town to build a new hotel. Later that day, Pile<br />
revealed that the Zanzibar government had already earmarked<br />
for Ali Albwardy a hotel site in Stone Town.<br />
<br />
¶4. (C) Pile also said in the October 18 conversation that<br />
Ali<br />
Abwardy was about to receive the rights to construct two<br />
new<br />
hotels on the mainland: one on the edge of Ngorongoro<br />
Crater<br />
and another on the Serengeti plain overlooking the main<br />
animal migration routes. Stringent conservation rules<br />
currently ban the construction of permanent structures<br />
inside<br />
national parks*including in the crater and on the Serengeti<br />
plain*but Pile said that in November legislation would be<br />
introduced to parliament to authorize the new hotels.<br />
(Comment: We have received no reports on new legislation,<br />
but<br />
the Dar Es Salaam Daily News on January 15 reported that<br />
the<br />
Tanzania National Parks Authority had approved construction<br />
of a five star hotel on the Serengeti plain.)<br />
<br />
¶4. (C) Later on October 18, over dinner, an Indian/South<br />
Asian man described as a business associate of Ali Albwardy<br />
briefly took Pile from the table for a conversation in<br />
Kiswahili. I am not sure what was said, but Kikwete's name<br />
came up several times and he passed her an envelope. Pile<br />
told me the envelope was stuffed with 1 million shillings<br />
( $1,000) and was to pay for a Kikwete meeting at the<br />
Kilmanjaro-Kempinski later that month. Apparently Kikwete<br />
is<br />
a regular customer, but no name ever appears on the hotel<br />
registry when a government bigshot has an &quot;event&quot; in one of<br />
the guest rooms.<br />
<br />
¶5. (C) Bio Note: Lisa Pile, an Australian citizen, has<br />
lived<br />
in Dar working for Kempinski Hotels since early 2004.<br />
Before<br />
that she had served in a similar capacity with the<br />
Kempinski<br />
chain in China. Her family in Australia is prominent in<br />
Australia's Liberal Party (the center-right party of Prime<br />
Minister John Howard).<br />
<br />
¶6. (C) Comment: What does it all mean? I don,t know, but<br />
my guess is that the investor Ali Albwardy has access to<br />
oil<br />
money out of the UAE. I suspect giving free clothes and<br />
the<br />
campaign donation is just the way these people do business.<br />
<br />
¶7. (C) For his part, Kikwete probably thinks having all<br />
these<br />
five star hotels around is a good idea for the country,and<br />
I<br />
agree with him. His new minister of Natural Resources and<br />
Tourism, Anthony Diallo, says he wants to double tourism,s<br />
contribution to the national economy in ten year,s time.<br />
Kikwete probably believes there is no harm in taking these<br />
&amp;little gifts8 to do what he would have been inclined to do<br />
anyway. That said, they are what they are: bribes.
<br />
<br />
Kwa faida ya wanajamii naomba wataalamu wa kiswahili waitafsiri habari hii,ili isambae kama moto wa pori.
 
This is utterly shameful!
I guess this cable has established the priorities of the current Pres: his priority is being flown to London and being bought Saville Row suits at the expense of his benefactors? & looking forward to having his 'events' at the Kili (while many pressing matters of national interest are being flagrantly ignored like for example a daylite robbery taking place full force at the BoT today). From this cable, it seems like the Prez. is bought already by the few&mighty.
"BribE' is his way of doing biz.

(speaking of priorities, this reminds me recently there was an article published in the papers about the gvt. wanting to demolish the COA building in order to make way for parking lot for the Kili. Parking lot for a Lux hotel, more important than a place for JUSTICE. How symbolic of the integrity of this current regime).

Seriously, does the current regime have credibility to govern?
 
Bibie, naona umeishiwa. Unachojaribu kusema hapo ni nini? Huyu Sobodo alitoa hizo hela kwa Chadema kwa sababu kachoshwa na kule CCM inakopeleka nchi yetu tukufu. Lakini naelewa uko kazini.l

Isome vizuri habari, na huyo Mwaarabu aliwapa CCM, cha ajabu nini? na vyama vyote vinapokea misaada? au nongwa kwa CCM tu?
 
Isome vizuri habari, na huyo Mwaarabu aliwapa CCM, cha ajabu nini? na vyama vyote vinapokea misaada? au nongwa kwa CCM tu?
Cha ajabu si mchango wa Mwarabu kwa CCM. Cha ajabu ni rais wa Tanzania kukubali kuvalishwa suti na Mwarabu. Cha ajabu ni rais wa Tanzania kuamuru Mwarabu apewe jengo la mahakama ya kadhi. Cha ajabu ni rais wa Tanzania kuamuru Mwarabu apewe ardhi Ngorongoro katika eneo ambalo ni mapitio ya wanyama mwitu ili ajenge hoteli yake. Hujakiona tu cha ajabu, bibie?
 
C O N F I D E N T I A L DAR ES SALAAM 000277<br />
<br />
SIPDIS<br />
<br />
DEPT FOR INR, R.EHRENREICH<br />
<br />
E.O. 12958: DECL: 02/13/2016<br />
TAGS: PGOV PREL TZ<br />
SUBJECT: KIKWETE CORRUPTION TIDBIT<br />
<br />
<br />
Classified By: Ambassador Michael Retzer, Reason 1.5 (d)<br />
<br />
¶1. (C) President Kikwete has accepted gifts (bribes) from<br />
the owner of the Kempinski Hotel chain,s Tanzanian<br />
properties, a citizen of the United Arab Emirates.<br />
<br />
¶2. (C) In a conversation with the manager and the publicity<br />
director of Dar Es Salaam,s Kilimanjaro-Kempinski Hotel<br />
hours after accompanying A/S Frazer to her October 18, 2005<br />
meeting with then-Foreign Minister Kikwete, I commented on<br />
Kikwete's flashy attire, asking &quot;Who dresses him?&quot; &quot;We do,&quot;<br />
they responded. Initially thinking this meant Kikwete<br />
frequented a men,s shop in the hotel, I learned later in<br />
the<br />
evening from hotel publicity director Lisa Pile (protect)<br />
that the hotel owner*UAE citizen Ali Albwardy*had recently<br />
flown Kikwete to London for a subsidized shopping<br />
expedition.<br />
Among other things, on that trip Ali Albwardy bought<br />
Kikwete<br />
five Saville Row suits. He had also recently made a $1<br />
million cash contribution to the CCM (which is a legal<br />
contribution under current Tanzanian law).<br />
<br />
¶3. (C) Pile told me the Kempinski Hotel chain is greatly<br />
expanding its presence in Tanzania. She said that in<br />
December it would open &quot;the best hotel in Zanzibar.&quot; Her<br />
prediction was a little off; the new Kempinski hotel,<br />
located<br />
on the beach on Zanzibar,s east coast, opened January 5. I<br />
attended the opening ceremony along with Zanzibari<br />
President<br />
Karume, who was asked publicly by Ali Albwardy for a site<br />
in<br />
Stone Town to build a new hotel. Later that day, Pile<br />
revealed that the Zanzibar government had already earmarked<br />
for Ali Albwardy a hotel site in Stone Town.<br />
<br />
¶4. (C) Pile also said in the October 18 conversation that<br />
Ali<br />
Abwardy was about to receive the rights to construct two<br />
new<br />
hotels on the mainland: one on the edge of Ngorongoro<br />
Crater<br />
and another on the Serengeti plain overlooking the main<br />
animal migration routes. Stringent conservation rules<br />
currently ban the construction of permanent structures<br />
inside<br />
national parks*including in the crater and on the Serengeti<br />
plain*but Pile said that in November legislation would be<br />
introduced to parliament to authorize the new hotels.<br />
(Comment: We have received no reports on new legislation,<br />
but<br />
the Dar Es Salaam Daily News on January 15 reported that<br />
the<br />
Tanzania National Parks Authority had approved construction<br />
of a five star hotel on the Serengeti plain.)<br />
<br />
¶4. (C) Later on October 18, over dinner, an Indian/South<br />
Asian man described as a business associate of Ali Albwardy<br />
briefly took Pile from the table for a conversation in<br />
Kiswahili. I am not sure what was said, but Kikwete's name<br />
came up several times and he passed her an envelope. Pile<br />
told me the envelope was stuffed with 1 million shillings<br />
( $1,000) and was to pay for a Kikwete meeting at the<br />
Kilmanjaro-Kempinski later that month. Apparently Kikwete<br />
is<br />
a regular customer, but no name ever appears on the hotel<br />
registry when a government bigshot has an &quot;event&quot; in one of<br />
the guest rooms.<br />
<br />
¶5. (C) Bio Note: Lisa Pile, an Australian citizen, has<br />
lived<br />
in Dar working for Kempinski Hotels since early 2004.<br />
Before<br />
that she had served in a similar capacity with the<br />
Kempinski<br />
chain in China. Her family in Australia is prominent in<br />
Australia's Liberal Party (the center-right party of Prime<br />
Minister John Howard).<br />
<br />
¶6. (C) Comment: What does it all mean? I don,t know, but<br />
my guess is that the investor Ali Albwardy has access to<br />
oil<br />
money out of the UAE. I suspect giving free clothes and<br />
the<br />
campaign donation is just the way these people do business.<br />
<br />
¶7. (C) For his part, Kikwete probably thinks having all<br />
these<br />
five star hotels around is a good idea for the country,and<br />
I<br />
agree with him. His new minister of Natural Resources and<br />
Tourism, Anthony Diallo, says he wants to double tourism,s<br />
contribution to the national economy in ten year,s time.<br />
Kikwete probably believes there is no harm in taking these<br />
&amp;little gifts8 to do what he would have been inclined to do<br />
anyway. That said, they are what they are: bribes.
<br />
<br />
Kwa faida ya wanajamii naomba wataalamu wa kiswahili waitafsiri habari hii,ili isambae kama moto wa pori.
 
FF kulikoni? Bora ukae kimya maana hakika maji yamezidi unga. Hizi tuhuma zinavyokuja kila kukicha afadhali ya jana!
 
Tunaweza kuelewa sasa ni kwa nini mkulu anakuwa mgumu katika kufanya maamuzi magumu. Kumbe anajijua jinsi na yeye alivyo mchafu....tena uchafu mwingine kama huu wa kuhongwa suti unatia kinyaa! Ni ulimbukeni ama ni nini?
 
Na Katika saa nne asubuhi ya Jumamosi (27-08-2011) iliyopita timu nzima ya NCCR ilikuwa nyumbani kwa Mzee Sabodo, sijui waliambulia kitu? Wakiongozwa na Mbatia. Nasikia walienda kupiga mzinga wa 500,000,000/= .
<br />
<br />
Faiza mbona umbea wa NCCR hauna uhusiano na thread??
Kwel magamba yamekutaiti mwanzo mwisho.

Ccm hoiii
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom