Wikiendi Dodoma

Mwita25

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2011
Posts
3,831
Reaction score
1,173
Maeneo ninayoyajua kwa sasa ni Chako-Ni-Chako bar, Younique Pub, Rose Garden Bar.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
yaani kuna maeneo mengine ya kula bata zaidi ya hayo? Nina wiki 6 tu hapa.
<br />
<br />
kesho uende sabasaba ukale mbuzi
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
kesho uende sabasaba ukale mbuzi
<br />
<br />
Saba-Saba si huwa wanauza mitumba au unamaanisha Mnadani?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Saba-Saba si huwa wanauza mitumba au unamaanisha Mnadani?
<br />
<br />
shit,kumbe upo dom ndo mana akili zako mbovu kama matonya aka ombaomba km jk...
 
iko karibu na booking office za kampuni ya hood
<br />
<br />

Mkuu umechelewa kumjibu. Maana kuna thread humu inasema huyu jamaa kapigwa ban. Nadhan atasoma tu ila hataweza kuuliza lingine!
 
Naona umeenda makao makuu kupata malipo kwa kazi "nzuri" hapa jf. Bahati nzuri tu umepigwa ban!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…