Wikiend yangu leo imemalizika hivi 😊

Wikiend yangu leo imemalizika hivi 😊

Aahh si unajua kuna mambo ambayo mtu huwa anayafanya kwa sababu
1. Ujasiri wa “kuwa nyuma ya keyboard
2.Upungufu wa adabu au malezi ya mtandaoni kushindwa kuonyesha ule uasili
3. Wivu au chuki ya ndani, mtu anaandika maneno ya kejeli kwa lengo la kupunguza chuki na presha yake
4. Kutafuta likes na attention ambazo hazina maana
5. Mtu ana matatizo yake binafsi na anamwaga kejeli na maneno ya kejeli kwa wengine.

Ni hayo tu Mkuu
Haha ni kweli uzuri nyuma ya keyboard watu huwa hawafichi tabia zao hasa chuki huwa hazijifichi ,ila ni rahisi kuficha madhaifu kuonesha uimara, ndio maana ni rahisi kutunishiana misuli mtandaoni ila not in reality ambapo mnaonana
 
Lamomy nadhan Manyaza amesoma ili awe tajiri na ndio amemaliza kusoma weekend hii.
Tusubiri miaka 7 ya miongozo ya Bwana Bodo.

Kumuuliza ana utajiri kias gan kwa sasa ni swal personal. hata ww ungeulizwa usingejibu kirahisi.

Pia utajiri ni Mtambuka. ina dhana pana .

Otherwise. be good Shem , peace Lamomy
 
Lamomy nadhan Manyaza amesoma ili awe tajiri na ndio amemaliza kusoma weekend hii.
Tusubiri miaka 7 ya miongozo ya Bwana Bodo.

Kumuuliza ana utajiri kias gan kwa sasa ni swal personal. hata ww ungeulizwa usingejibu kirahisi.

Pia utajiri ni Mtambuka. ina dhana pana .

Otherwise. be good Shem , peace Lamomy
😹😹😹 Si atakua kashazeeka sasa..!!
 
Back
Top Bottom