Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama kitaifa yanaanza leo huko mkoani mbeya.
Dar es salaam tumeianza wiki hiyo kwa foleni ndefu sana bararani, hasa sisi watumiaji wa njia ya ali hassan mwinyi.
Kwa mtizamo wangu nlidhani kuwa wiki hii ndio ingekuwa haina foleni kwani ndio ingekuwa wiki muafaka kwa askari wa usalama barabarani kuonyesha mbinu ambazo wamekuwa wakizitafiti ili kupunguza kero ya msongamano dar es salaam (nsiongee sana, huenda hawana hata mpango wa kutafiti namhna ya kuzipunguza hiziz foleni)
Dar es salaam tumeianza wiki hiyo kwa foleni ndefu sana bararani, hasa sisi watumiaji wa njia ya ali hassan mwinyi.
Kwa mtizamo wangu nlidhani kuwa wiki hii ndio ingekuwa haina foleni kwani ndio ingekuwa wiki muafaka kwa askari wa usalama barabarani kuonyesha mbinu ambazo wamekuwa wakizitafiti ili kupunguza kero ya msongamano dar es salaam (nsiongee sana, huenda hawana hata mpango wa kutafiti namhna ya kuzipunguza hiziz foleni)