VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Binafsi last week ndio ilikuwa wiki niliyokuwa nimekosa kabisa watu wa kunichangamkia, nkajiuliza sana je nimezeeka au nyota yangu imetembelewa na mtu (lm kidding, siamini mambo ya nyota)
Dada sometimes kuna vitu vinapelekea watu wakufatefate....., na kukusumbua mfano mavazi au mwenendo wako..., kuna vazi ukivaa utasumbuliwa kila mahali wachache wanachukulia ni kama welcome sign..... nadhani ukiwa serious wengine wanaweza wakawa wanakupenda lakini wanakuogopa... kumbuka
"Desperation is like stealing from the Mafia: you stand a good chance of attracting the wrong attention"
sijasema kwamba wewe ni desperate lakini ukitaka kila mtu akusimamisha vaa mavazi ya kimvuto-mvuto utapata attention mpaka mwenyewe utashangaa..., lakini 99.9% itakuwa sio unayoitaka itakuwa ni kero