Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
Kumbe akina dada huwa mnafanya tathmini kwa siku, wiki na mwaka mmetongozwa mara ngapi!!!! Nilikuwa sijui.
Mi mwenyewe mdada na ninamshangaa.........hata mie nilikuwa sijui ati......
Nafikiri kuna watu wamepungukiwa vitu vya kuwaza na kutathmini....can't believe it!!