Mwana Kijiji unanitisha sasa, hivi kama ni kweli mambo yenyewe ndo haya tutafikia malengo kweli?? Kama anapotokea shujaa wa kutupigania sisi watoka vumbi alafu baada ya muda watu wenye nia mbaya na nchi hii wanataka kuwaondoa duniani itakuwaje??
Muogopeni Mungu jamani, mnasahau kuwa kila nafsi itaonja mauti, uharamia mnaotaka kuufanya hapa duniani angalau tu muendelee kujinufaisha nyie na familia zenu kwa kisingizio cha kulinda maslahi ya nchi ni mbaya sana kweli kabisa ni mbaya sana, any way wacha niendelee kuamini kuwa MUNGU ANA MAKUSUDI YAKE KWA KILA JAMBO
Mwana Kijiji unanitisha sasa, hivi kama ni kweli mambo yenyewe ndo haya tutafikia malengo kweli?? Kama anapotokea shujaa wa kutupigania sisi watoka vumbi alafu baada ya muda watu wenye nia mbaya na nchi hii wanataka kuwaondoa duniani itakuwaje??
Muogopeni Mungu jamani, mnasahau kuwa kila nafsi itaonja mauti, uharamia mnaotaka kuufanya hapa duniani angalau tu muendelee kujinufaisha nyie na familia zenu kwa kisingizio cha kulinda maslahi ya nchi ni mbaya sana kweli kabisa ni mbaya sana, any way wacha niendelee kuamini kuwa MUNGU ANA MAKUSUDI YAKE KWA KILA JAMBO
With due respect!hivi huyu Zitto hata hapa JF ana wapambe au ndio tumesahau jukumu letu la kutetea maslahi ya wadanganyika? maana even a blind can see that he's being pampered.Achilia mbali kina Lipumba hata Prof.Wangwe amekana taarifa yake ya hali ya mazishi ya MP Wangwe.Pamoja na Mzee Mwanakijiji kumpamba kwa matukio ambayo hayawezi kuwa accounted for, ukweli unabaki hakusema ukweli kuhusu kukichojiri Tarime.Na sijui kama huyu anaweza kusimama kama mtetezi wa wadanganyika,he's simply not credible.
Sorry dude you left me behind Tanzania tuna malengo gani?
Jamani, Tanzania hii tunakwenda wapi?
Na wewe kwani tulikuwa tunaelekea wapi maana we have always been stuck!
Mwanakijiji,
Nakuaminia mkuu... una uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja zisizokuwepo...
Hili nakuvulia kofia kwa mara nyingine tena... Kama ulivyodai kuonyeshwa picha ya Marungu kutoka kwenye ile thread nyingine.
Unaonaje ukatuwekea picha ya hiyo message?
With due respect!hivi huyu Zitto hata hapa JF ana wapambe au ndio tumesahau jukumu letu la kutetea maslahi ya wadanganyika? maana even a blind can see that he's being pampered.Achilia mbali kina Lipumba hata Prof.Wangwe amekana taarifa yake ya hali ya mazishi ya MP Wangwe.Pamoja na Mzee Mwanakijiji kumpamba kwa matukio ambayo hayawezi kuwa accounted for, ukweli unabaki hakusema ukweli kuhusu kukichojiri Tarime.Na sijui kama huyu anaweza kusimama kama mtetezi wa wadanganyika,he's simply not credible.
Ngoma Nzito, ina maana Mwana Kijiji aangelikuwa mtu mwenye asili ya Poland (Polish), hii JOKE ingelimfaa?? (samahani kuchanganya mambo).Ka Inzi hako wasije wakakimwagia dawa ya Expel kikafa kipatie expel proof MKJJ
Pole Mh. ZK
Kuna kipindi kilikuwa kinarushwa na Radio Tanzania ama Radio One nadhani saa mbili na robo usiku cna wimbo wa kuanzia kipindi ulikuwa Unasema,
"Geuza, geuza cmwendo. Kipindi cha Vijana...." mengine nimesahau...
Tanzania we have been stuck long enough and it is not part of my plan to remain stuck forever... katika hili dimbwi!
Mzozo wa Mizozo,Du...
Naona Sikonge umeanza na njama zako za kumwaga unga unga hapa Jamvini.
Mkuu Heshima kubwa kwako,
kwa kweli hata mimi limenishtua lakini nikuhakikishie jambo moja mkuu wangu,Hilo jambo au wazo la wao kutaka kuua wanaharakati wote wa kupambana na ufisadi,ukandamizaji,unyonyaji,Dhuluma na hila chafu halitafanikiwa.Huo ni mkakati ambao umeshindwa kwani hata sasa kuna watu ambao wamejitolea kwa hali na mali kuhakikisha mapinduzi au mageuzi makubwa ya kisiasa na kiuchumi yanatokea nchini.
Natamani kama siku moja kila mmoja akiogopa kufa na kuamua kabisa kusimama kidete kwa njia yoyote iwe ni kugombea udiwani,ubunge,kuanzisha NGO za kutoa elimu ya uraia au za kuchochea mageuzi ya kifikra kwa wananchi ili mradi unatoa mchango wa kupambana na maadui wa taifa letu.hii iwe ni vita ya kupambana na ufisadi popote pale katika taifa hili.Huu umafiosoo wao utashindwa vibaya sana maanke sijui wataua wangapi.
Unajua nini mimi siamini ni watu kwa niaba ya serikali au CCM; naamini kuna mtandao wa uhalifu (organized crime group) ambao hawatasita kufanya kweli kwa mtu YEYOTE awe CCM, upinzani, kanisa, serikalini, mtaani n.k as long as kwamba wanamuona mtu huyo ni tishio kwao na maslahi yao.
MJJ,Unajua nini mimi siamini ni watu kwa niaba ya serikali au CCM; naamini kuna mtandao wa uhalifu (organized crime group) ambao hawatasita kufanya kweli kwa mtu YEYOTE awe CCM, upinzani, kanisa, serikalini, mtaani n.k as long as kwamba wanamuona mtu huyo ni tishio kwao na maslahi yao.
Mwana Kijiji unanitisha sasa, hivi kama ni kweli mambo yenyewe ndo haya tutafikia malengo kweli?? Kama anapotokea shujaa wa kutupigania sisi watoka vumbi alafu baada ya muda watu wenye nia mbaya na nchi hii wanataka kuwaondoa duniani itakuwaje??
Muogopeni Mungu jamani, mnasahau kuwa kila nafsi itaonja mauti, uharamia mnaotaka kuufanya hapa duniani angalau tu muendelee kujinufaisha nyie na familia zenu kwa kisingizio cha kulinda maslahi ya nchi ni mbaya sana kweli kabisa ni mbaya sana, any way wacha niendelee kuamini kuwa MUNGU ANA MAKUSUDI YAKE KWA KILA JAMBO