Tajiri Mapesa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2020
- 707
- 698
Wiki iliyopita nilikua namfanyia interview moja ya shemeji yenu mmoja ili nione kama anafaa kuwekwa ndani
Nikamwuliza mfano nikakupatia shillingi elfu 50 ya mtaji, utafanya biashara gani?
Nilipata majibu baada ya hapo nikafunga interview. Hivi wiki hii nitakua na interview nyingine na shemeji yenu mwingine.
Baada ya hapo nita shortlist
Nikamwuliza mfano nikakupatia shillingi elfu 50 ya mtaji, utafanya biashara gani?
Nilipata majibu baada ya hapo nikafunga interview. Hivi wiki hii nitakua na interview nyingine na shemeji yenu mwingine.
Baada ya hapo nita shortlist