Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Tena ningekua mie ningekufukuza hapo hospitali
mume wangu anaumwa wewe unasomba mtaa mzima waje kumwona ya nini?
kawa maonesho?
Magonjwa mengine yanahitaji privacy.
Jifunze kusikiliza mziki na kucheza kwa kufuata beat sio unajichezea tu
miwivu ya kitoto, kwanza una miaka mingapi?nisije kuwa natolewa povu na kitoto hata hakijui ukurugenzi ni nini
mume wangu anaumwa wewe unasomba mtaa mzima waje kumwona ya nini?
kawa maonesho?
Magonjwa mengine yanahitaji privacy.
Jifunze kusikiliza mziki na kucheza kwa kufuata beat sio unajichezea tu
miwivu ya kitoto, kwanza una miaka mingapi?nisije kuwa natolewa povu na kitoto hata hakijui ukurugenzi ni nini
Unajua kibaya zaidi juice yenyewe wamenunua majirani zangu na sijanunua mimi maana aliuliza huu uchafu nani kaleta akaonyeshwa wale majirani zangu yaani ubinadamu kazi jamani