Wife materials ni shida

Wife materials ni shida

Kuna mwanamke ana umbo la "polygon"....?!
Kweli mitaala ya Tz imefika pabaya.
 
Wanaume wengi hupenda kuoa wanawake wenye tabia na mienendo mizuri (wife materials). Ndiyo maana kukawa na usemi kuwa uzuri wa mwanamke siyo urembo ni tabia.

Lakini imedhihirika pasipo shaka kuwa wanawake wengi ambao ni wife materials hawavutii kwa sura na shape. Wapo wapo tu na ndiyo maana wananyenyekea kwa wapenzi wao na watu wengine na hivyo kutafsiriwa kama wife materials.

Na hii ndiyo sababu ya wanaume wengi kuchepuka na kuwafuata hao wenye shape na sura zao nzuri ila wamepungukiwa tabia nzuri.

My take:
Ili usichepuke tafuta mke atakaye amsha hisia zako. Usiangalie tabia nzuri kwani wewe mzazi wake? Au wewe ni kasisi/shekhe? Unaenda kuitumia wapi hiyo tabia.

Lengo hasa (specific objective) la ndoa ni mgegedo. Sasa unaenda kuoa polygon kisa tu lina tabia nzuri, siku 2 unakuwa umelichoka unasikia kinyaa hata kufuatana nalo mtaani ama kulitoa out. Kwann unajibebesha dhambi bure?

Unachukua dubwana likizaa mzao mmoja linaonekana kama mamako mzazi. Mkiongozana linapewa shikamoo halafu wewe unaambiwa za saa hizi kaka.

Acheni hizo mwanamke ni shape na sura tabia nzuri akamuonyeshe baba yake.

Duu..., kwa mtazamo huu bado tupombali saanaa.,
 
Hongera bila shaka unafanana na umbo moja wapo hapo polygon.png


 
Wanaume wengi hupenda kuoa wanawake wenye tabia na mienendo mizuri (wife materials). Ndiyo maana kukawa na usemi kuwa uzuri wa mwanamke siyo urembo ni tabia.

Lakini imedhihirika pasipo shaka kuwa wanawake wengi ambao ni wife materials hawavutii kwa sura na shape. Wapo wapo tu na ndiyo maana wananyenyekea kwa wapenzi wao na watu wengine na hivyo kutafsiriwa kama wife materials.

Na hii ndiyo sababu ya wanaume wengi kuchepuka na kuwafuata hao wenye shape na sura zao nzuri ila wamepungukiwa tabia nzuri.

My take:
Ili usichepuke tafuta mke atakaye amsha hisia zako. Usiangalie tabia nzuri kwani wewe mzazi wake? Au wewe ni kasisi/shekhe? Unaenda kuitumia wapi hiyo tabia.

Lengo hasa (specific objective) la ndoa ni mgegedo. Sasa unaenda kuoa polygon kisa tu lina tabia nzuri, siku 2 unakuwa umelichoka unasikia kinyaa hata kufuatana nalo mtaani ama kulitoa out. Kwann unajibebesha dhambi bure?

Unachukua dubwana likizaa mzao mmoja linaonekana kama mamako mzazi. Mkiongozana linapewa shikamoo halafu wewe unaambiwa za saa hizi kaka.

Acheni hizo mwanamke ni shape na sura tabia nzuri akamuonyeshe baba yake.

Na hao material wataolewa na nani? Hisia ya ngono haipo kwenye sura au umo bali raha na utulivu unaopata pia utamu uliopata. Ya nini kuwa na mwanamke anayetamaniwa na kila mwanaume? Hebu kuweni na akili GTs. Mwanamke anayevutia machoni anaweza asivutie kitandani kwani wangapi tumehangaika nao kwenye game hawawezi na hawana utamu wowote! Mgeni wa wanawake nini! Ukikua utaacha ujinga wako.
 
Ushauri wako unawapotosha wenziyo na jinsi nilivyikusoma unatafuta mwanamke mrembo ili usifiwe mtaani na kwa Rafiki zako...ndoa c kitu cha mchezo utawezaje kuishi na lianamke ht kufanya usafi ndani kwake hawez kisa ana shape nzuri,hakika utakufa maskini daima
 
Maana ya maisha ni kutoa na sio kupokea,najua hili ni gumu sana kwako kwasababu umefundishwa nipe nikupe au wakati mwingine nipe na mimi nisikupe ....

Kuna binadamu wana umimi sana na hawa ndio walioharibu sana dunia na watu wake,kimsingi kila binadamu kaja hapa kutoa na sio kupokea,hivyo wote ni watoaji tu,kupokea ni matokeo ya kutoa hivyto kama hutoi usitarajie kupokea

Lakini siku hizi kila mtu anataka mtu wa kumpa tu na hakuna ambae anataka kutoa,sasa maisha yataenda vipi?

Unapotafuta mtu wa tabia fulani funali hiyo inakuwa inamaana kwamba unakuwa umejiandaa kupokea tu bila kutoa,tumeumbwa kuishi wote humu duniani na wenye mitazamo tofauti na tabia tofauti pia,kile ambacho tunapaswa kutoa ni upendo [sio wa kingono]

Kila mtu mwenye tabia yoyote tunapaswa kuishinae kwenye mahusiano yoyote yale iwe ya kindoa au yoyote ile na tuishi nao kwa upendo,kama mtu ana tabia fulani na umezijua anaepaswa kubadilika ni wewe sio yeye kwasababu jukumu la kutoa upendo [kubadilika] ni lako na sio lake,nae siku akijitambua atalijua jukumu lake na kuanza kutoa upendo

Hivyo ndivyo maisha yalivyo na sio kama tunavyoyataka sisi yawe!

Na kama mtu tabia yake ni uzinzi au uasherati, wewe ubadilike uweje? Na wewe uwe mzinzi? Au ubadilike uweje?
 
Ushauri wako unawapotosha wenziyo na jinsi nilivyikusoma unatafuta mwanamke mrembo ili usifiwe mtaani na kwa Rafiki zako...ndoa c kitu cha mchezo utawezaje kuishi na lianamke ht kufanya usafi ndani kwake hawez kisa ana shape nzuri,hakika utakufa maskini daima

watu wanaoana kwa hisia nasiyo kwa tabia
 
Wanaume wengi hupenda kuoa wanawake wenye tabia na mienendo mizuri (wife materials). Ndiyo maana kukawa na usemi kuwa uzuri wa mwanamke siyo urembo ni tabia.

Lakini imedhihirika pasipo shaka kuwa wanawake wengi ambao ni wife materials hawavutii kwa sura na shape. Wapo wapo tu na ndiyo maana wananyenyekea kwa wapenzi wao na watu wengine na hivyo kutafsiriwa kama wife materials.

Na hii ndiyo sababu ya wanaume wengi kuchepuka na kuwafuata hao wenye shape na sura zao nzuri ila wamepungukiwa tabia nzuri.

My take:
Ili usichepuke tafuta mke atakaye amsha hisia zako. Usiangalie tabia nzuri kwani wewe mzazi wake? Au wewe ni kasisi/shekhe? Unaenda kuitumia wapi hiyo tabia.

Lengo hasa (specific objective) la ndoa ni mgegedo. Sasa unaenda kuoa polygon kisa tu lina tabia nzuri, siku 2 unakuwa umelichoka unasikia kinyaa hata kufuatana nalo mtaani ama kulitoa out. Kwann unajibebesha dhambi bure?

Unachukua dubwana likizaa mzao mmoja linaonekana kama mamako mzazi. Mkiongozana linapewa shikamoo halafu wewe unaambiwa za saa hizi kaka.

Acheni hizo mwanamke ni shape na sura tabia nzuri akamuonyeshe baba yake.

Una inferiority complex kijana, hao wanawake wazuri unaopishana nao mitaani wanatunzwa/kujitunza, wengi ukipewa picha zao za miaka kadhaa nyuma unaweza usiamini.
Mwanamke anatakiwa aishi maisha rahisi. Unashindwa kununua mkaa au gesi ya kupikia unamuacha mkeo ashinde kwenye kibanda cha jiko la kuni halafu utegemee kuwa na ngozi nyororo kama hao unaowaona ni wazuri!!!!
Kuna watu ni wazuri sana ila ugumu wa maisha unahafifisha uzuri wao, ila mambo yao yanapokuwa mazuri kila kitu kinakuwa kizuri.
 
Baadhi ya komenti zinasikitisha, kweli kila mtu ana mtazamo wake juu ya nani anafaa kuwa mwenza wake.
 
Wenzako washaachana na hiyo phenomenon...huo msako waachie police wasake wenye tabia nzuri kwa ustawi wa nchi! How come mtu na akili zako timamu miaka nenda rudi macho kodo eti unatafuta wa tabia nzuri...sitashangaa unaoa hawa wenye vijishepu vya tangawizi kwa kisingizio cha tabia nzuri....kuna wenzako wameoa wenye sura zisizotazamika mara mbili leo hii michepuo imekuwa njia kuu kwao...Itaendelea wiki ijayo!
 
Back
Top Bottom