Wife materials ni shida

Wife materials ni shida

Kuna some truth ila umeiweka vibayavibaya!

Hakuna binadamu ambae ana tabia fulani kwaajili ya kuolewa/kuoa na mwingine ana tabia fulani kwaajili ya kuishi tu bila kuolewa/kuoa ....

Habari ya siku?
 
Habari zangu nzuri Mkuu nazipenda pia. Habari ya masiku kaka Mkubwa, Umeadimika sana, tunakosa zako nyingi Hekima, busara na elimu Mkuu. Natumai mmevuka mwaka salama na wale wote uwapendao.

Karibu sana, nafurahi kukusikia tena kaka Eiyer.

Binadamu yoyote ambae anatafuta mtu mwenye tabia fulani ili awe mkewe au mume mtu huyo ni dhaifu na hajui maisha yana maana gani

Habari yako mkuu?
 
Binadamu yoyote ambae anatafuta mtu mwenye tabia fulani ili awe mkewe au mume mtu huyo ni dhaifu na hajui maisha yana maana gani

Habari yako mkuu?

Fafanua mkuu Eiyer
 
Mmmh, Vip Na Upande Wa Wanaume Tuchague Vip? Mana Weng Sura Hzooooo
 
Habari zangu nzuri Mkuu nazipenda pia. Habari ya masiku kaka Mkubwa, Umeadimika sana, tunakosa zako nyingi Hekima, busara na elimu Mkuu. Natumai mmevuka mwaka salama na wale wote uwapendao.

Karibu sana, nafurahi kukusikia tena kaka Eiyer.

Kaka namshukuru sana Mungu niko salama kaka ....

Kaka huku siku hizi naona kama kunawafaa wengine kaka,mambo yamebadilika sana siku hizi hadi tunaweza kuchangia halafu watu wakatushangaa kwasababu ya mitazamo tofauti na watu ambao tunachangia nao kaka

Mara moja moja sio mbaya kuonekana huku kaka!
 
Kila kitu kwa kawaida kinaanza na wewe....kabla hujahangaika kutafuta mke bora jiulize wewe mwenyewe una sifa za kuwa mume bora...???...maana kwa kawaida ndege wafananao daima huruka pamoja........huwezi kumkuta mwewe kwenye kundi la njiwa au kasuku kwenye kundi la chiriku.....
 
Fafanua mkuu Eiyer

Maana ya maisha ni kutoa na sio kupokea,najua hili ni gumu sana kwako kwasababu umefundishwa nipe nikupe au wakati mwingine nipe na mimi nisikupe ....

Kuna binadamu wana umimi sana na hawa ndio walioharibu sana dunia na watu wake,kimsingi kila binadamu kaja hapa kutoa na sio kupokea,hivyo wote ni watoaji tu,kupokea ni matokeo ya kutoa hivyto kama hutoi usitarajie kupokea

Lakini siku hizi kila mtu anataka mtu wa kumpa tu na hakuna ambae anataka kutoa,sasa maisha yataenda vipi?

Unapotafuta mtu wa tabia fulani funali hiyo inakuwa inamaana kwamba unakuwa umejiandaa kupokea tu bila kutoa,tumeumbwa kuishi wote humu duniani na wenye mitazamo tofauti na tabia tofauti pia,kile ambacho tunapaswa kutoa ni upendo [sio wa kingono]

Kila mtu mwenye tabia yoyote tunapaswa kuishinae kwenye mahusiano yoyote yale iwe ya kindoa au yoyote ile na tuishi nao kwa upendo,kama mtu ana tabia fulani na umezijua anaepaswa kubadilika ni wewe sio yeye kwasababu jukumu la kutoa upendo [kubadilika] ni lako na sio lake,nae siku akijitambua atalijua jukumu lake na kuanza kutoa upendo

Hivyo ndivyo maisha yalivyo na sio kama tunavyoyataka sisi yawe!
 
Karibu sana usipotee hivyo Kaka Mkubwa. Nakubaliana nawe tunaelekea kudorora na mada za ajabu ajabu sijui ndio vijana wa kileo au ndio mtindo wa kileo au ndio uleo huo.

Hii mitazamo tofauti ndio inawasaidia wengine pia kujifunza japo hutawaona wakiapreciate lkn mahali na mahali lazima kuna watu wanajifunza kimya kimya. Usichoke Mkuu changamoto zako huwa wengine zinatupa kukitazama kitu au jambo kwa mara ya pili na kwa upande wa pili tena.

Nikutakie mwama mwema sana kwako.

Kaka namshukuru sana Mungu niko salama kaka ....

Kaka huku siku hizi naona kama kunawafaa wengine kaka,mambo yamebadilika sana siku hizi hadi tunaweza kuchangia halafu watu wakatushangaa kwasababu ya mitazamo tofauti na watu ambao tunachangia nao kaka

Mara moja moja sio mbaya kuonekana huku kaka!
 
Karibu sana usipotee hivyo Kaka Mkubwa. Nakubaliana nawe tunaelekea kudorora na mada za ajabu ajabu sijui ndio vijana wa kileo au ndio mtindo wa kileo au ndio uleo huo.

Hii mitazamo tofauti ndio inawasaidia wengine pia kujifunza japo hutawaona wakiapreciate lkn mahali na mahali lazima kuna watu wanajifunza kimya kimya. Usichoke Mkuu changamoto zako huwa wengine zinatupa kukitazama kitu au jambo kwa mara ya pili na kwa upande wa pili tena.

Nikutakie mwama mwema sana kwako.

Haina tabu mkuu,tuombeane heri tu kuu na tutakuwa tunakuwepo pale ambapo itakuwa inafaa .......

Nikutakie wakati mwema sana mkuu!
 
Basi wenye wake km vinyago...watakavyokupiga vita..😂😂😂😂😂
 
Basi wenye wake km vinyago...watakavyokupiga vita..😂😂😂😂😂

Umeona ee!? Mwenye mke sura mbovu tabia 100% lazima awe mpinzani wa mada hii. Na mwanamke ambaye anajiona hawezi kushindana ktk soko kutokana na shape kukaa kihasara na sura inasonywa na kila mwanaume lazima awe mkali hapa.
 
Ukweli ni kwamba muonekano nao unaraha yake, la sivyo utabakia kusifia wake/wume za wenzako tu wewe wako unaona aibu kumzungumzia.
 
Eeeh sawa bwana. Mapolygon tuna shida hivi kumbe huwa tunatia kinyaa pia? But I hope kila mtu Mungu alimuumba kwa makusudi yake....

Mhhuuu Khantwe uzuri na mapenzi ya mtu ni very subjective. Ndoa huwa inahusisha mambo mengi, sura, tabia, 'maturity', kuheshimiana, imani, nk. Wasukuma hupenda wanawake 'weupe' lakini thread ilipita hapa JF na watu wengi walionyesha mapenzi yao kwa wanawake weusi. 'Polygon' kwa huyu ni 'malaika' kwa mwingine. Hao wenye ma-miss world wanachepuka kweli kweli, yamkini ndani hapakaliki, mrembo ni mbumbumbu kwenye idara zote kasoro ya uzuri.
 
kama unataka ndoa yako idumu siku 48, zingatia sura na shape kwenye kuchagua mke wa kuoa.. over!
 
Wanaume wengi hupenda kuoa wanawake wenye tabia na mienendo mizuri (wife materials). Ndiyo maana kukawa na usemi kuwa uzuri wa mwanamke siyo urembo ni tabia. Lakini imedhihirika pasipo shaka kuwa wanawake wengi ambao ni wife materials hawavutii kwa sura na shape. Wapo wapo tu na ndiyo maana wananyenyekea kwa wapenzi wao na watu wengine na hivyo kutafsiriwa kama wife materials. Na hii ndiyo sababu ya wanaume wengi kuchepuka na kuwafuata hao wenye shape na sura zao nzuri ila wamepungukiwa tabia nzuri. My take: Ili usichepuke tafuta mke atakaye amsha hisia zako. Usiangalie tabia nzuri kwani wewe mzazi wake? Au wewe ni kasisi/shekhe? Unaenda kuitumia wapi hiyo tabia. Lengo hasa (specific objective) la ndoa ni mgegedo. Sasa unaenda kuoa polygon kisa tu lina tabia nzuri, siku 2 unakuwa umelichoka unasikia kinyaa hata kufuatana nalo mtaani ama kulitoa out. Kwann unajibebesha dhambi bure? Unachukua dubwana likizaa mzao mmoja linaonekana kama mamako mzazi. Mkiongozana linapewa shikamoo halafu wewe unaambiwa za saa hizi kaka. Acheni hizo mwanamke ni shape na sura tabia nzuri akamuonyeshe baba yake.
mwanamke sura + mwanaume pesa = balanced family.
 
Back
Top Bottom