Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,028
- 52,505
- Thread starter
- #41
sio mahusiano tu maisha kwa ujumlaUkitaka kujifunza kuhusu mahusiano unaweza ukasoma kwa miaka 300 bila kupata cheti
sio mahusiano tu maisha kwa ujumlaUkitaka kujifunza kuhusu mahusiano unaweza ukasoma kwa miaka 300 bila kupata cheti
Tusubirie labda wazuri bado hawajazaliwasio mahusiano tu maisha kwa ujumla
Huko= uko we nae ulienda shule kusomea ujingasio alimuwacha ni alimuacha.. huko shule sijui mnaendaga kusomea ujinga!
Utaolewa na mimiKwahiyo sisi wachaga hatutakiwi kuolewa au?

Hhapo ndo kwake mchaga mimiUtaolewa na mimi![]()
KaribuHhapo ndo kwake mchaga mimi
AasanteKaribu
ha ha ha! hiyo ga kwenye neno mnaendaga inaonyesha hali ya mazoea mama...= mnaenda
Wacha wee!
Haya maeAasante
ha ha ha! hiyo ga kwenye neno mnaendaga inaonyesha hali ya mazoea mama...
sio alimuwacha ni alimuacha.. huko shule sijui mnaendaga kusomea ujinga!

duh! walimu wanakazi mwanafunzi kama wewe u mbishi kwelikweli ila ndo hivyo mdogomdogo utaelewa= mnaenda
Mstari wa mwsho nimeupenda. Watani zako niniWife material.
Awe na shepu. Sub woofer iwepo ya kiasi. Mpishi mzuri na asitoe toe chai . asiwemuongeaji saana. Asiwe mchagga
Huyu mtume alikuwa analala kitanda cha mbili kwa tano!!kuna hadithi ya mke MMOJA WA MTUME ,yule mama alikuwa na adabu kiasi kwamba alikuwa akilala akitaka kugeuka lazima aombe ruhusa kwa mumewe! baby mpenzi mume wangu naomba kugeuka upande wa mbili mbavu zimechoka upande huu.mume akimpa rukhsa ndo anageuka tena kwa sala.
sio kizazi hiki cha kwetu tunageuka kama pipa nilashuka mabondeni yaani kama upo karibu unateguliwa hadi makende ! poleni sana wanaume maana vijambo mnavonusa usiku,? hyo mikoromo, bado mtu ageuke kama bomu plus stress za magufuli ukiishi miaka 70 shukuru Mungu
If you know this... Why are you still single aka unmarried aka sphinster?"A shortcut to a man's heart is through his stomach"
If you know this... Why are you still single aka unmarried aka sphinster?
hahaaha..bado mateke umesahau.
akigeuka na spidi yake wengine wanarusha miguu hewani wakishusha ombea usikutane mfupa kwa mfupa

If you know this... Why are you still single aka unmarried aka sphinster?
!!Mmmh,watakuwepo nahisiJe wanaume material nao wapo...?
Asiwe mchaga tena???? Fafanua hapo Mkuu....!!Wife material.
Awe na shepu. Sub woofer iwepo ya kiasi. Mpishi mzuri na asitoe toe chai . asiwemuongeaji saana. Asiwe mchagga