Wife material yupo hivi

Wife material yupo hivi

kuna hadithi ya mke MMOJA WA MTUME ,yule mama alikuwa na adabu kiasi kwamba alikuwa akilala akitaka kugeuka lazima aombe ruhusa kwa mumewe! baby mpenzi mume wangu naomba kugeuka upande wa mbili mbavu zimechoka upande huu.mume akimpa rukhsa ndo anageuka tena kwa sala.
sio kizazi hiki cha kwetu tunageuka kama pipa nilashuka mabondeni yaani kama upo karibu unateguliwa hadi makende ! poleni sana wanaume maana vijambo mnavonusa usiku,? hyo mikoromo, bado mtu ageuke kama bomu plus stress za magufuli ukiishi miaka 70 shukuru Mungu
Huyu mtume alikuwa analala kitanda cha mbili kwa tano!!
 
Wife material.
Awe na shepu. Sub woofer iwepo ya kiasi. Mpishi mzuri na asitoe toe chai . asiwemuongeaji saana. Asiwe mchagga
Asiwe mchaga tena???? Fafanua hapo Mkuu....!!
 
Back
Top Bottom