Wife material yupo hivi

Wife material yupo hivi

Kuna mtu alimuwacha mke kwa kuwa ................!

Mwengine alimuwacha mke kwa kuwa ana sauti kali.


Mi mwenzenu nimelelewa vibaya, maana kwangu "UKALI WA NYUKI NDIO UTAMU WA ASALI YAKE"!
Wazungu wanatuita watu wa aina yangu 'masochist', yaani kwa mfano jinsi FaizaFoxy unavyopashapasha watu mi ndo nakufa kwa mahaba! Yaani sijui nitakupata lini!!!!!!!?
 
Back
Top Bottom