Nyankuzi
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 465
- 391
Kuna mtu alimuwacha mke kwa kuwa ................!
Mwengine alimuwacha mke kwa kuwa ana sauti kali.
hahaaha..bado mateke umesahau.
akigeuka na spidi yake wengine wanarusha miguu hewani wakishusha ombea usikutane mfupa kwa mfupa

Mchaga ana nini mkuu??Wife material.
Awe na shepu. Sub woofer iwepo ya kiasi. Mpishi mzuri na asitoe toe chai . asiwemuongeaji saana. Asiwe mchagga