Yani umepiga mule mule Sina cha kuongeza hapo 😂😂According to Africans, wife material ni mwanamke fala who behaves like a sheep, yeye kila kitu sawa mme sawa mme okay mme, haruhusiwi kufanya kazi wala kuwa huru na shughuli zake ila kusikiliza tu mme muda wote.
Ni mwanamke fala ambae hana sauti ndani ya nyumba hasikilizwi anaeishi kwa kunyanyasika ila yupo tu yeye anadai anavumilia.
I guess am right Jadda say something about wife material 😅
My husband wants this kind of a woman. Something which I am not.According to Africans, wife material ni mwanamke fala who behaves like a sheep, yeye kila kitu sawa mme sawa mme okay mme, haruhusiwi kufanya kazi wala kuwa huru na shughuli zake ila kusikiliza tu mme muda wote.
Ni mwanamke fala ambae hana sauti ndani ya nyumba hasikilizwi anaeishi kwa kunyanyasika ila yupo tu yeye anadai anavumilia.
I guess am right Jadda say something about wife material 😅
My husband wants this kind of a woman. Something which I am not. My life is sometimes like a living hell.
Ndoa ifutwe tuMy husband wants this kind of a woman. Something which I am not.
Soma tena ulicho andika uone kama unamake senseWife material is a man made idea. Mwanamke anaweza kujiweka kama "wife material" kutimiza lengo lake na kukuaminisha na bado usijue. Hivi vitu havina muongozo.
Ndio akili yako imeishia hapa.According to Africans, wife material ni mwanamke fala who behaves like a sheep, yeye kila kitu sawa mme sawa mme okay mme, haruhusiwi kufanya kazi wala kuwa huru na shughuli zake ila kusikiliza tu mme muda wote.
Ni mwanamke fala ambae hana sauti ndani ya nyumba hasikilizwi anaeishi kwa kunyanyasika ila yupo tu yeye anadai anavumilia.
I guess am right Jadda say something about wife material 😅
Ndio Africans hupenda mke kondoo na kuona ndie wife materialHii sio sahihi. Huyu sio material kabisa. Huyu atakuwa kundi la limbukeni ambao siku wanajanjaruka hawashikiki
It is tiresome living like a sheep for that so called ndoa.My husband wants this kind of a woman. Something which I am not.
Waweza ongeza na zako hapo juu ili tumake kitu kizuriNdio akili yako imeishia hapa.
Husband materials ndio tunatoka kanisani kwenye ibada ya misa takatifu sasa hivi na tunapitia buchani kununua nyama tukajipikie pilau wenyewe maana wanawake wanatukataa kwasababu eti hatuendi Clubs na hatunywi pombe. 😭😭Everything is hard
Choose your hard,
kanisa gani mnatoka saa hz kijanaHusband materials ndio tunatoka kanisani kwenye ibada ya misa takatifu sasa hivi na tunapitia buchani kununua nyama tukajipikie pilau wenyewe maana wanawake wanatukataa kwasababu eti hatuendi Clubs na hatunywi pombe. 😭😭
Sasa majibu unayo tayari kwanini ulete uziHiyo ni mojawapo ila sio kigezo kikuu