Wife ana PID iliyokomaa.

Wife ana PID iliyokomaa.

Ulishawahi kutumia tiba mbadala?, if not jaribu hii approach. Inaweza kuleta suluhisho. Personally ninatoa huduma kwa kutumia mitishamba na matokeo yamekua mazuri kwa wagonjwa hata wale sugu.
 
Shida ya watanzania wengi wameaminishwa juu ya dawa za hosp tu wakati Kuna dawa mbadala zinazoweza kufanya kazi vizuri na mtu akapona kabisa.PID ni tatizo kubwa sana kwa wanawake wengi wakati huu na wengi wametibiwa mno lakini tatizo liko palepale.Kwenye mitishamba matatizo haya hukoma kabisa na hayajitudii tena.Lita 5 tu za mimea thabiti iliyochemshwa anasahau shida madhira yote.Kama utaendelea kutokupata suluhisho,nijulishe hapahapa nikupe maelekezo.
 
Mlete kwenye maombi kingdom embassy riverside nakuhakikishia yesu atamponya
 
Wakuu habari.. naomba kufahamishwa hospital inayotibu hili tatizo tumehangaika mnoo.

Mbarikiwe
Pole sana mkuu. Ushauri wangu ni huu: 1. Kuwa macho sana sana sana na hawa wanaokuambia wana ''tiba mbadala''. Wengi ni matapeli wanaopiga fedha na dawa zao huwa hazifanyi kazi. Na zaidi ogopa sana hawa wanaokupa dawa eg lita tano na kukuchaji fedha nyingi. Hawa ni matapeli. Narudia tena. Bnadamu wamekuwa ni zaidi ya wanyama na wengi ni matapeli. Siku yoyote kama unataka kujaribu tiba za kienyeji, epuka kabisa kulipa fedha nyingi unapopewa dawa. Kama kweli dawa zao zingekuwa zinafanya kazi, wangekuwa wanatoa kwa bei ndogo au kutaka ulipie baadae.
2. Huu ugonjwa UNAPONA hospitalini kama unatibiwa kwa usahihi na dakta sahihi pia kwa dawa sahihi. A. Una uhakika kweli anasumbuliwa na huo ugonjwa? Umejaribu kubadili hospital na vipimo? B. Dawa anazopewa anatumia kwa usahihi na dawa zenyewe siyo fake? C. Kwa sababu mara nyingi huu ugonjwa unasababishwa na vimelea vya magonjwa ya zinaa, je wewe uko clean (huna ugonjwa) na hutembei nje mara kwa mara bila kinga? D. Je, mke wako naye katulia au huwa anachepuka? C. Anajua namna sahihi ya kufanya usafi wa sehemu zake za siri? Nauliza kwa sababu wataalam wanasema mwanamke ''aki-flush ndani'' mara kwa mara anasababisha in-balance ya bakteria wazuri ndani ya uke na kuweza kupata huu ugonjwa.
Mwisho nakushauri kutumia ma-dr bingwa, kusoma sana njia sahihi za mwanamke kujisafi kwenye uke, kuhakikisha dawa unanunua sehemu sahihi na doze inatumika kama alivyoambiwa bila kuruka-ruka.
 
Pole sana mkuu. Ushauri wangu ni huu: 1. Kuwa macho sana sana sana na hawa wanaokuambia wana ''tiba mbadala''. Wengi ni matapeli wanaopiga fedha na dawa zao huwa hazifanyi kazi. Na zaidi ogopa sana hawa wanaokupa dawa eg lita tano na kukuchaji fedha nyingi. Hawa ni matapeli. Narudia tena. Bnadamu wamekuwa ni zaidi ya wanyama na wengi ni matapeli. Siku yoyote kama unataka kujaribu tiba za kienyeji, epuka kabisa kulipa fedha nyingi unapopewa dawa. Kama kweli dawa zao zingekuwa zinafanya kazi, wangekuwa wanatoa kwa bei ndogo au kutaka ulipie baadae.
2. Huu ugonjwa UNAPONA hospitalini kama unatibiwa kwa usahihi na dakta sahihi pia kwa dawa sahihi. A. Una uhakika kweli anasumbuliwa na huo ugonjwa? Umejaribu kubadili hospital na vipimo? B. Dawa anazopewa anatumia kwa usahihi na dawa zenyewe siyo fake? C. Kwa sababu mara nyingi huu ugonjwa unasababishwa na vimelea vya magonjwa ya zinaa, je wewe uko clean (huna ugonjwa) na hutembei nje mara kwa mara bila kinga? D. Je, mke wako naye katulia au huwa anachepuka? C. Anajua namna sahihi ya kufanya usafi wa sehemu zake za siri? Nauliza kwa sababu wataalam wanasema mwanamke ''aki-flush ndani'' mara kwa mara anasababisha in-balance ya bakteria wazuri ndani ya uke na kuweza kupata huu ugonjwa.
Mwisho nakushauri kutumia ma-dr bingwa, kusoma sana njia sahihi za mwanamke kujisafi kwenye uke, kuhakikisha dawa unanunua sehemu sahihi na doze inatumika kama alivyoambiwa bila kuruka-ruka.
Ushauri mujarabu cc Erythrocyte
 
Naunga mkono hoja, achana kabisa na hao wanaojiita mitishamba, huwa wana maneno mazuri kuliko dawa zao, nenda hospital fanya vipimo tumieni dawa kwa usahihi, isipoponesha rudi kwa daktari yuleyule atakupa dawa za kiwango kikubwa zaidi na ispopona atakupa nyingine pia, ndio sababu kuna dawa za class tofauti ili kusaidia pale ya class ya kwanza inaposhindwa kutibu ugonjwa.
 
Kaa chini na mkeo mwambie akwambie vizuri kuhusu historia yake ya mahusiano ya nyuma akuelekeze na akwambie ukweli wa dhati.

PID ni ugonjwa nadra sana kuwakuta mabinti ambao wametunza nyuchi zao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom