God bell
JF-Expert Member
- May 13, 2011
- 590
- 211
- Thread starter
- #21
Siku zote huwa unamjali jali na hivyo vitu anavyodai au ndio kanga zimepauka kama zilimwagiwa jiki na viatu fundi wa viatu kavichoka?
Nwy kama unaweza mpe tu maana baadhi ya wanawake utoto tu unawasumbua. Hapo anafikiria wenzake waki'brag yeye atabakije kuwasikiliza tu bila yeye kushiriki. Mpe nae akaringishie marafiki na wafanyakazi wenzake.
Hakuna cha utoto.wanawake wengi wanafikiri valentine ndo basi hakuna kupendwa tena kwa siku zinazofata mbeleni.