God bell
JF-Expert Member
- May 13, 2011
- 590
- 211
Wife amelianzisha jioni hii, anadai amenivumilia sana kila mwaka sichukulii serious siku ya valentine kumuweka mkao kumuweka mkao. Anataka kila 14th of february niwe namnunulia nguo, viatu na hereni atokee out ili ajione na yeye yuko katika wanawake wanaopendwa. ''Jamani kuna mambo mengi ya kufanya sio kukaa na kufikiria valentine day wakati kama ni kupendwa ni kila siku ijayo kwa Mungu.''ndivyo nilivyo mjibu. Basi amenunaa hadi sauti imefifia. Ndo nanyoosha miguu huku mtaani maana nimeona kuendelea kukaa hapo home kuna uwezekano wa kuzuka balaa zaidi.