Wife amewaka na mimi kuhusu Valentine!

Wife amewaka na mimi kuhusu Valentine!

kwan kwa mfano ukimfanyia mkeo anachotaka kwa kwa hyo ck unahc utapungukiwa nn! zaid utaongeza upendo na kumfanya akuone unamjali zaidi! sa ngoja apate wa nje japo wa kumnunulia lolpop nyekundu! na akitiwe maneno matam ya uongo kidogo! ndo utajua maan halisi ya kumpenda na kumjal mkeo jap kwa kidogo!! cz wengi wenu mkioa mnajisahau mkiona tyr mshamaliza! kumbe ndo mnachemka!
 
Ndo maana ndoa zinakuwa ngumu, mkishaoa huduma zinakatwa
kweli samaki anapewa chambo akiwa anavuliwa tu
baada ya hapo ooh mambo mengi ooh maisha magumu
kama maisha magumu achana nayo fan ya mambo mengine....

My dear Evelyn Salt maisha sio kile unachoona watu wanafanya ndio uige na kuifanya part of your life. Simaanishi watu wasihudumie wapendwa wao, Lakujiuliza ni je uko kwenye position ya kutekeleza yale mahitaji kwa muda anaotaka! a real wife sent from the heaven will understand the situations instead of starting to boil like mafuta ya kukaangia samaki,,
 
My dear Evelyn Salt maisha sio kile unachoona watu wanafanya ndio uige na kuifanya part of your life. Simaanishi watu wasihudumie wapendwa wao, Lakujiuliza ni je uko kwenye position ya kutekeleza yale mahitaji kwa muda anaotaka! a real wife sent from the heaven will understand the situations instead of starting to boil like mafuta ya kukaangia samaki,,

Masikini umeongea kwa huruma, umeoa?
 
Mpe haki yake au unataka wajanja wakusaidie kumtunza?
 
Hizo outing ninavyojituma si kawaida, hadi kuna siku anasema mwenye leo tusiende. Namshangaa hicho kisirani amekitoa wapi.
 
Haijalishi lakini, siku moja haiwezi mbadilisha mtu alitakiwa kueleza hisia zake kila siku pia mbinu zingetumika kumbadilisha bwana awe ana care for eternity........lol

yeah hapo ndipo mwanamke aliposhindwa kumpatia bwana ake.
 
kwan kwa mfano ukimfanyia mkeo anachotaka kwa kwa hyo ck unahc utapungukiwa nn! zaid utaongeza upendo na kumfanya akuone unamjali zaidi! sa ngoja apate wa nje japo wa kumnunulia lolpop nyekundu! na akitiwe maneno matam ya uongo kidogo! ndo utajua maan halisi ya kumpenda na kumjal mkeo jap kwa kidogo!! cz wengi wenu mkioa mnajisahau mkiona tyr mshamaliza! kumbe ndo mnachemka!

si ndo hapo mambo madogo anataka kuyafanya makubwaaaa.
 
Pole sana,kwa mtazamo wang kila siku inapaswa iwe ni valentine,km huna utaratibu wa kumtunukunu mkeo mara kwa mara anza sasa,msamehe bure ushamba unamsumbua anataka na yy ajishow off kwmb yumo,binafs siku hii huwa naiita ni siku ya unafik dunian,ni unafik tu unatendeka,leo mjifanye kupendana kesho vurugu znaendelea km kawa ndo upendo gan sasa?
 
Nashukuru nilipata wa kuendana na mimi, i dnt have to ask anajua wajibu wake, february ilipogonga tu nikaanza kuulizwa mama valentine hii unataka twende wapi
 
Huyo atakuwa wife material, hayuko kimaendeleo kabisa. Valentine day kununuliwa zawadi is not an issue, issue ni maendeleo gani unaleta nyumbani na mnatafuta the whole year faida mnaila at the end of the year kama Christman or New Year, hapo usipompa zawadi nayo ni majanga na kumpa zawadi kama kipato kinaruhusu!!! Wanawake tuache kulazimisha mambo, sometimes na sisi tuwanunulie hao wanaume hata kama wao wanawapa (vidumu vyao nje) sisi tulio ndani tuwanunulie zawadi.
 
we na hyo avatar yako hujaacha kuona kizunguzungu?

you-talking-to-me-smiley-emoticon.gif
 
Kwani mara ya mwisho kumtoa mkeo out ilikua lini???

hili nalo neno, sawa sawa na mtoto ushazoea kumnunulia nguo sikukuu hadi sikukuu, ngoja sikukuu ifike hujanunua nguo. mambo mengine jizoesheni kufanya jamani yaonekane ya kawaida.
 
hili nalo neno, sawa sawa na mtoto ushazoea kumnunulia nguo sikukuu hadi sikukuu, ngoja sikukuu ifike hujanunua nguo. mambo mengine jizoesheni kufanya jamani yaonekane ya kawaida.

Nimeipenda dhana yako.. Mnunulie mtoto zawadi siku yoyote, usisubiri sikukuu zikija ndo unanunua pair nne za nguo, pichu, viatu..
 
Wakiume wanalalama ,

Na Wanaume na ndoa zao wanalalamika vile vile,

Kumhudumia mkeo anachokihitaji ni wajibu wako!!
 
Back
Top Bottom