Dx and Rx
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,303
- 3,084
- Thread starter
- #101
Hapo panakuwa na tatizo miongoni mwao, huwezi kuwa katika mahusiano kwa muda mrefu kiasi hicho na mshindwe kujua madhaifu yenu na kuvumiliana. Labda hayo mahusiano yawe ni ya long distance bila kuonana kwa muda mrefuLabda neno ndoa linakuaga na tatizo. Kuna wale wanadate bf na gf hata miaka sita ila wakiingia kwenye ndoa miezi minne tu wanaanza manung'uniko.