mafinga kwetu
Member
- Nov 21, 2010
- 35
- 3
1-Je ni wana jelous?
2-Wana uelewa wa jinsi ambavyo haki haitendeki?
3-Wanafahamu zaidi ya wizi unaofanyika?
4-Wanaufahamu wa mambo yanayofanyika nchi nyingine?
5-Wanafahamu jinsi rasilimali ambavyo haziwasaidii watanzania ipasavyo?
6-Hawaridhiki na utendaji kwa ujumla?
7-Wanajua walivyotakiwa kupata na kufanyiwa na serikali lakini havifanyiki?
Ninahitaji mchango wako mdau wa JF.......
2-Wana uelewa wa jinsi ambavyo haki haitendeki?
3-Wanafahamu zaidi ya wizi unaofanyika?
4-Wanaufahamu wa mambo yanayofanyika nchi nyingine?
5-Wanafahamu jinsi rasilimali ambavyo haziwasaidii watanzania ipasavyo?
6-Hawaridhiki na utendaji kwa ujumla?
7-Wanajua walivyotakiwa kupata na kufanyiwa na serikali lakini havifanyiki?
Ninahitaji mchango wako mdau wa JF.......