Why TTCL is not the leading Cellular and internet Operator?

Mbona sasa wapi kwenye mobile na hawako cheap kihivyo
 
Sasa hivi wapige chini management yote walete wazungu kama walivyofanya waarabu na iondolewe kwenye mfumo wa ruzuku ijiendeshe yenyewe hapo labda tutafika
 
Data price should be halved to ensure majority of pple in Tanzania accrue the benefits cyber world brings.
 
TTCL imeachwa ikafa kifo kibaya na sisi Watanzania wenyewe. Na its no wonder ikaja kufa kabisa tukabakiwa na stories & tales that tuliwahi kuwa na shirika kama hilo. Celtel ndio alikuwa wa kwanza kumuumiza TTCL kipindi hicho na viongozi hawakusema lolote walifumba macho. Kuna kipindi Mhe. Zitto ali~raise hili swala ila kama kawa likapotezewa. Bahati mbaya hatuna desturi ya kutunza na kulinda mali zetu watanzania
 
It's simple. TTCL lilikua shirika la serikali. Mashirika ya kiserikali ni ngumu kuwa competent kwenye market kwa sababu wafanyakazi wa serikalini na management kwenye ayo makampuni sio competent. Ni ngumu kuajiri wafanyakazi ambao ni competent kwenye mashirika ya kiserikali kwa sababu maslahi ni madogo kulinganisha na mashirika binafsi. Private sectors zitazidi kuongoza maana maslahi ni mazuri na watu competent ndio wanakimbilia uko. TTCL ni moja ya mashirika ya kiserikali yenye changamoto iyo.
 
Nimelia sana niliposoma habari hii, i wish i could be a president even for 24 hrs
 
Kwakweli nchi hii kulikuwa na mambo ya ovyo sana ovyo kabisa! Acha Magufuli atunyooshe tu, maana hamna namna sasa!
 
Duuuh mi niko nje ya mji lakini mnara umesimama mujarabu kabisa nimekuta nikiipenda TTCL

Niendelee nione watatubadilikia au wataendelea kufanya mujarabu
 
Hili ni ttzo karibu katika kila sekta Tanzania,watz hatuko self motivated,mtu mpaka asukumwe na hawezi kujishurutisha mwnyw kufanya kitu,na hili cjui chanzo ni nn hasa,cjui ni malezi!
 
Maneno huumba.
 
Duh
 
Reactions: SMU
For obvious reasons... Like having a board of directors full of the dumbest individuals making final decisions.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…