Why TTCL is not the leading Cellular and internet Operator?


Dah. hii ni kali kupita zote
 
huyu mkuu wa iki kitengo cha BIG RESULT NOW ndo aliyeitrick serikali kuwaingiza wahindi ktk shirika hili na kwa kutumia leseni ya ttcl wakaanzisha celtel leo hii JK kamuona wa maana anampa kitengo cha BRN.
 
 

Ni kweli kabisa alichokieleza mkuu Shingo, mwezi wa 6 mwaka huu nikimgda na jamaa mmoja mzalendo yuko ttcl. Nilimlaumu sana makumuliza kwanini wanasuasua kutoa hudama nzuri ya simu za mkononi, akaniambia kuwa wasingeweza kwani Celtel (Airtel) waliizuia ttcl isitoe huduma hiyo. Pia alinipa habari njema kuwa mwishoni mwa mwaka huu ktna huwezekano ttcl wakato huduma hii kwa kasi mpya, ikiwa ni pamoja na GSM.
 
Last edited by a moderator:
kitu kikishakuwa `public owned` baaas lengo la kufanya biashara ili kupata faida linapotea,mixer hizo hujuma kibao lazma waachwe na mitandao mingine ,haki ingekuwa hela za watu ndo zimewekwa hapo na wanasubiria dividends kila mwaka ttcl wangekuwa zaidi ya mbali sana,in my opinion partial privatization could be a solution
 
wanayoimaliza TTCL wamo ndani ya TTCL na pia mikataba mibovu ilyoingizwa kampuni wengi wanakwamisha maendeleo ndo mana upande wa data kila siku ni mauzauza wakati kila kitu kipo kuna watu wanatakiwa waachie nafasi zao wamekaa tu bila faida yoyote hawana uelewa wala fikra ya kuchambua na kujua nini sokoni kunaitajika wamekaa tu maofisini
 

tatizo kubwa linalozikumba ofisi za serikali na wafanyakaz wake ni kujua kwamba mishahara yao haitokani na uzalishaji bali kodi sie wengine tulio ktk private sector!!! kukubali kusdhindana na kupata faida kunaitaja kujituma na kuchemsha bongo kwa mtu mwenye uhakika na mshahara ni ngumu sana kufanya ivyo!!

na lingine tukatae tusikatae ni ajira za kujuana, sijawai ckia ttcl wanatangaza ajira lakini kila cku wafanyakaz wanaingia na kutoka, hapa linazaa tatizo la incompetence, serikalini kuna shida kubwa sana ya competence wafanyakaz wengi uwezo ni mdogo either kwa kupata ajira za kujuana au kukimbilia job security maana serikalini hakuna kupima perfromance ukifika kazini asbui jion unatoka ushaingiza cku.

hata cku moja huwez endesha shirika technical kwa icompetent people utakua exposed tu, ndo mana kwa tendency hii ya watu wengi kua incompetent mashirika yanaiyoitaj technical capability na akili nyingi kubwa kuliko siasa yanafail mfano no hili ttcl,nasaco, uda, mecco,bandari, air tz, tazara, reli, all manufacturing industries, tanesco etc kwa watu dhaifu unaweza endesha mashirika au taasis zisizoitaj akili nyingi kama bank, bima, mifuko ya jamii , tume mbalimbali , ofisi za serikali nk
 

acha uongo
 
Nashauri haya mashirika ya uma yawe listed DSE kuleta tija kwenye uwendeshaji.
 
Halafu kuna watu wanataka CCM iendelee kutawala,Hiki Chama kinachoongoza serikali kimejaa watu wenye akili fupi na wasiojitambua hata kidogo.Wakati mwingine hata hao Wazungu wanaoshirikiana nao kuyahujumu mashirika ya umma huwa wanashangazwa kiwango cha ujinga kilichowatawala hawa viongozi wetu,hii ni aibu!!"
 
Dah nikisikia ttcl ilipofika natamani waliosababisha ifike wafe mana wamekosa uzalendo ivi hii nchi inaongozwa na walevi wa gongo au mana mambo ya kipuuzi yanafanyika af yanafumbiwa macho mfano mzuri ni general tyre,zzk Mbeya na kiwanda cha mbolea tanga yani ccm ni corrupt af na viongozi wake ni corrupt!!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
eti akina lukuvi, wasira, sophia simba, nchemba,...... Ndo think tank ya selikali!! Hakyanani kwa hiyo "cream" mabua lazima yavunwe.
 
Platinum warioba yumo!!
 
TTCL wamesambaa Tanzania nzima iweje wapitwe na vikampuni kama Halsted.?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…