Tarime one
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 2,246
- 1,740
- Thread starter
- #21
Kwani hili jukwaa gani!???
Ulipenda iwe jukwaa lipi?
Kwani hili jukwaa gani!???
watakua mbali sana kuna kile kipindi cha naswa cha kenya,,, wamekopi idea ulaya lakini wameifanya kuwa bora zaidi tofauti na wafanyavyo...:hapa bongo wangekopi na kupesti stori nzima kama za wazungu
Kuna comedian mmoja huwa yuko star time ana act kama muha, that one akipikwa vyema anaweza.