Why Tanzania tusiwe na hii kitu

Why Tanzania tusiwe na hii kitu

Tarime one

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2013
Posts
2,246
Reaction score
1,740
Kila mara ninapoenda nchi jirani hapa kenya huwa napenda kufurahia vikundi vya vichekesho hasa pale carnival, napenda kwenda kuangalia churchll show, actually huwa na enjoy sana, big question kwangu hivi Tanzania hatuna watu talented wa kuweza kufanya mambo kama yale kutuondolea stress kwa kufanya comedy ya namna ile, au ipo sehemu hapa dar wanafanya me sijui?tulijadili hili, hii inaweza kuwa business idea ya kumweka mtu mjini.
 
tatizo la tanzania ni kuigana idea akianza mmoja wengine wanaiga... wamekomaa kurusha vipindi kwenye tv
 
Umeongea point mkuu ni kweli sie tubaki kuangalia tbc

kuna jamaa nimeona clip zake anaitwa mc pilipili na mwingine jina limenitoka wanafanya live comedy sijui ni wapi wanaifanyia ila mara nyingi wapo kwenye sherehe,, kuna harusi moja mc pilipili alimchekesha bi harusi mpaka akakaa chini
 
Hii kitu kwa wenzetu ni business tena kubwa, wanapata kampuni zinawapa sponsorship kwa kutangaza bidhaa zao, kwa yule ambae hajawahi kuwashuhudia live aingie youtube asearch churchll show utawapenda.
 
hiki kikundi kipo chini ya evans bukuku wanaitwa stand up comedy wapo wengi.. walikua wanafanyia mikocheni east 24 bar & grill.. sasa hivi sijui wapo ukumbi upi.
 
kuna jamaa nimeona clip zake anaitwa mc pilipili na mwingine jina limenitoka wanafanya live comedy sijui ni wapi wanaifanyia ila mara nyingi wapo kwenye sherehe,, kuna harusi moja mc pilipili alimchekesha bi harusi mpaka akakaa chini

Sie had tukwafkia wenzetu watakua washatoa mpya
 
Na bongo bado wanadhan uchekeshaji ni kuvaa vitambi vya bandia, mwanaume kuvaa uhusika wa kike, kujipaka masinzi na mengine kama hayo....Wenzetu Kenya unakuta na Eric Omond ama Mc Jessy kapiga suti very smart.....anakuchekesha kwa yale anayoongea kwa bongo nadhan huyu jamaa wa ze comedy huyu mweusi muhaya...huyu mwenye mandevu...huyuuuuu nan huyu bana....anyway nimemsahau jina lake kidogo ana misemo yake ukiisikiliza utajikuta unafurah.
 
Sie had tukwafkia wenzetu watakua washatoa mpya

watakua mbali sana kuna kile kipindi cha naswa cha kenya,,, wamekopi idea ulaya lakini wameifanya kuwa bora zaidi tofauti na wafanyavyo...:hapa bongo wangekopi na kupesti stori nzima kama za wazungu
 
Na bongo bado wanadhan uchekeshaji ni kuvaa vitambi vya bandia, mwanaume kuvaa uhusika wa kike, kujipaka masinzi na mengine kama hayo....Wenzetu Kenya unakuta na Eric Omond ama Mc Jessy kapiga suti very smart.....anakuchekesha kwa yale anayoongea kwa bongo nadhan huyu jamaa wa ze comedy huyu mweusi muhaya...huyu mwenye mandevu...huyuuuuu nan huyu bana....anyway nimemsahau jina lake kidogo ana misemo yake ukiisikiliza utajikuta unafurah.

umewahi kuwaona crew ya evans bukuku... wanafanya tofauti sana walipiga comedy na eric omondi ilikua balaa na sijawaona wakivaa vitambi vya bandia ni suti tu..

hahaha mwarabu wa dubai anakwambia denda nalo ni mate japo huwezi kuyanywa kwenye kikombe..
 
umewahi kuwaona crew ya evans bukuku... wanafanya tofauti sana walipiga comedy na eric omondi ilikua balaa na sijawaona wakivaa vitambi vya bandia ni suti tu..

hahaha mwarabu wa dubai anakwambia denda nalo ni mate japo huwezi kuyanywa kwenye kikombe..
Unajua mkuu huwa nikiangaliaga hiyo avatar yako ya sahan ya plastic yenye ugal na maharage halafu ni kama hayo maharage hajaiva na yako na wale wadudu wadudu.....mmmmmmh unanikumbusha mbali sana huwa nikikutano ha hiyo avatar yako huchukua kama dakika tano hivi kukumbuka enzi hizo had na watu tuliokuwaga nayo.....Nway nawapenda sana wakina Churchill show na churchill raw wapo creative sana kuna hilo kundi moja linaitwa ribs crack....wazee wa atteeeeeeention.....jamaa wapo step kama 2 hivi mbele yetu kwa kwel.
 
hiki kikundi kipo chini ya evans bukuku wanaitwa stand up comedy wapo wengi.. walikua wanafanyia mikocheni east 24 bar & grill.. sasa hivi sijui wapo ukumbi upi.

Unaweza kukuta wameishaacha, wabongo hatuchelewi kukata tamaa, hawajui before ufanikiwe lazima ujitoe kikweli kweli, unajua mtu mmoja aliniuliza why hupendi kuangalia movie za bongo, nikamwambia si kwamba sipendi but kuna kipindi najisikia aibu, hawako serious, huwezi cheza scene ya kijijini unalima huku umeweka wave kichwani au jambazi anakuvamia nyumbani anavua viatu anaingia ndani ya nyumba ha!!!reality ya picha haipo.
 
umewahi kuwaona crew ya evans bukuku... wanafanya tofauti sana walipiga comedy na eric omondi ilikua balaa na sijawaona wakivaa vitambi vya bandia ni suti tu..

hahaha mwarabu wa dubai anakwambia denda nalo ni mate japo huwezi kuyanywa kwenye kikombe..

Kumbe tunakunywaga mimate mkuu
Loohh.....
 
Unajua mkuu huwa nikiangaliaga hiyo avatar yako ya sahan ya plastic yenye ugal na maharage halafu ni kama hayo maharage hajaiva na yako na wale wadudu wadudu.....mmmmmmh unanikumbusha mbali sana huwa nikikutano ha hiyo avatar yako huchukua kama dakika tano hivi kukumbuka enzi hizo had na watu tuliokuwaga nayo.....Nway nawapenda sana wakina Churchill show na churchill raw wapo creative sana kuna hilo kundi moja linaitwa ribs crack....wazee wa atteeeeeeention.....jamaa wapo step kama 2 hivi mbele yetu kwa kwel.

hahaha aisee mi nakumbuka siku tukitoroka kwenda mjini kama siku msosi ni huu yani hatuwazi kurudi mapema manake hauishi hata ukienda saa 10 unaukuta... badae maharage wakawa wanayapika vizuri tuna toroka kununua chapati unapiga na maharage siku ukichelewa unakuta ugali mtupu... good memories..

kiukweli tz tuko nyuma hata hizi comedy zilizopo zimepoteza mvuto kabisa
 
Unaweza kukuta wameishaacha, wabongo hatuchelewi kukata tamaa, hawajui before ufanikiwe lazima ujitoe kikweli kweli, unajua mtu mmoja aliniuliza why hupendi kuangalia movie za bongo, nikamwambia si kwamba sipendi but kuna kipindi najisikia aibu, hawako serious, huwezi cheza scene ya kijijini unalima huku umeweka wave kichwani au jambazi anakuvamia nyumbani anavua viatu anaingia ndani ya nyumba ha!!!reality ya picha haipo.

unakuta mtu analala na hereni, cheni, bangili, wigi na make up.. umoja wao wenyewe unayumba,,, nadhani jamaa wanaendelea ila wanapofanyia show sijui ni pale pale au ni kwingine sijafika mitaa hiyo ya mikocheni kitambo sasa..
 
Kuna comedian mmoja huwa yuko star time ana act kama muha, that one akipikwa vyema anaweza.
 
Back
Top Bottom