Why talk of a cure for HIV is premature'

Likipata tiba hili litakuja jingine kwan asili ya mwanaadam ni kuumbiwa majanga hasa kwa starehe
 
Kuna sehemu nilisoma wanasema dawa ya kuponya HIV ipo na chanjo ya kuzui kupata huo ugonjwa ipo. Lakini hawataki kuwapa watu sababu watapoteza fedha nyingi mno watu wakianza kupona kabisa.

Ndio maana wanatoa dawa za kuishi muda mrefu na Si za kukuponesha kabisa.

Sina uhakika na hili.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kuna sehemu nilisoma wanasema dawa ya kuponya HIV ipo na chanjo ya kuzui kupata huo ugonjwa ipo. Lakini hawataki kuwapa watu sababu watapoteza fedha nyingi mno watu wakianza kupona kabisa.

Ndio maana wanatoa dawa za kuishi muda mrefu na Si za kukuponesha kabisa.

Sina uhakika na hili.
Nchi zilizoendelea zinajitahidi kuwapatia wananchi wake the best ARV's zilizoko sokoni, dawa hizi zinawagharimu pesa nyingi sana, kama kweli kungekuwa na dawa wangefurahi kupeleka pesa hiyo sehemu nyingine zinakohitajika zaidi, kama kuboresha matibabu ya cancer na vitu vingine.
 
....Ilipungua kusema kweli lakini nadhani imerudi kabla ya ugonjwa huu kuingia na katika baadhi ya nchi hata zaidi kabla ya ugonjwa. Ugonjwa umekaa kwenye utamu na utamu wengi hawataki kuachana nao.

Wasiwasi wangu ni zinaa kuongezeka baada ya mafanikio haya.
 
Nadhani w
Nchi zilizoendelea zinajitahidi kuwapatia wananchi wake the best ARV's zilizoko sokoni, dawa hizi zinawagharimu pesa nyingi sana, kama kweli kungekuwa na dawa wangefurahi kupeleka pesa hiyo sehemu nyingine zinakohitajika zaidi, kama kuboresha matibabu ya cancer na vitu vingine.
nadhani watu wanao fund HIV treatment ni tofauti na watu wanao fund cancer research/treatment.

Mfano watu wana toa ajili ya cancer wanatofautiana baina Yao maana kuna aina nyingi ya cancer.
 
Wasiwasi wangu ni zinaa kuongezeka baada ya mafanikio haya.


Madam Sky Eclat, even now zinaa zinafanyika mnoo duniani kote despite the presence of HIV/AIDS.

Zinaa ilikuwepo tangu enzi, ipo kwa sasa, na itaendelea kuwepo!

What I myself doubt ni kwamba baada ya kupata Cure, wasije wakatengeneza Viral epidemic nyingine more deadly than HIV/AIDS!

Hawa wazungu wana mambo mengi sana hawa. The big pharma makes a huge billions earning out of these chronic diseases. They hate to hear about the so called 'cure' or 'vaccines'.

By the way, na hizo vaccines nazo ni majanga tu. I hope umeshasikia jinsi ile approved HPV vaccination (chanjo ya warts) inavyoathiri afya za watu waliopata hiyo chanjo, especially huko developed world. Wanasema such vaccine is NOT safe!

Homa ya dunia.

-Kaveli-
 
Madam Sky Eclat, even now zinaa zinafanyika mnoo duniani kote despite the presence of HIV/AIDS.

Zinaa ilikuwepo tangu enzi, ipo kwa sasa, na itaendelea kuwepo!

What I myself doubt ni kwamba baada ya kupata Cure, wasije wakatengeneza Viral epidemic nyingine more deadly than HIV/AIDS!

Hawa wazungu wana mambo mengi sana hawa. The big pharma makes a huge billions earning out of these chronic diseases. They hate to hear about the so called 'cure' or 'vaccines'.

By the way, na hizo vaccines nazo ni majanga tu. I hope umeshasikia jinsi ile approved HPV vaccination (chanjo ya warts) inavyoathiri afya za watu waliopata hiyo chanjo, especially huko developed world. Wanasema such vaccine is NOT safe!

Homa ya dunia.

-Kaveli-
Katika nchi zilizoendelea watu walioathirika sana na HIV/AIDS ni gay society, na hawa watu wanajua kulobby ikifika kwenye mustakabali wa haki zao, fikiria walivyolobby mpaka ndoa za jinsia moja zimepitishwa, waje wasikie kuna pharmaceutical company ina hold cure, wataandamana. Sijasikia habari za chanjo za HPV ingawa ninakumbuka ilivyoanza in one promotion zake. Ninafahamu chanjo ya HPV inatolewa shule kwa mabinti wote wa miaka 13 na wanarudia tena wakiwa 16 lakini mzazi lazima akubali, kwa miaka 16 binti ana uwezo wa kusign consent mwenyewe bila ridhaa ya mzazi.
 
kati ya nyumba 13 zinazonizunguka nane zina mgonjwa mmoja au zaidi aliyethibitika, hali ni mbaya kuliko matamko ya serikali.

bora chanjo na kinga ipatikane, vinginevyo tungeshuhudia kuporomoka kwa jamii ndani ya miaka thelasini ijayo.
 
Huu ugonjwa acha tu, kila mwaka watu wanaibuka wamepata dawa lakini hamna kitu
 
kati ya nyumba 13 zinazonizunguka nane zina mgonjwa mmoja au zaidi aliyethibitika, hali ni mbaya kuliko matamko ya serikali.

bora chanjo na kinga ipatikane, vinginevyo tungeshuhudia kuporomoka kwa jamii ndani ya miaka thelasini ijayo.
Duh wapi huko ndugu
 
kati ya nyumba 13 zinazonizunguka nane zina mgonjwa mmoja au zaidi aliyethibitika, hali ni mbaya kuliko matamko ya serikali.

bora chanjo na kinga ipatikane, vinginevyo tungeshuhudia kuporomoka kwa jamii ndani ya miaka thelasini ijayo.
Aaa wewe AIDS ilifagia early 90's, ninakumbuka jeshini, polisi, walimu, uraiani, wewe acha, ARV zinastiri sana.
 
....Ilipungua kusema kweli lakini nadhani imerudi kabla ya ugonjwa huu kuingia na katika baadhi ya nchi hata zaidi kabla ya ugonjwa. Ugonjwa umekaa kwenye utamu na utamu wengi hawataki kuachana nao.


Mkuu BAK, that's correct. Tena uwepo wa hizi ARVs ambazo mwathirika anazima ghafula tu na unene wake without healthy deterioration, ndo kabisaaa watu wanaonekana kutoogopa HIV/AIDS. The disease being 'controllable' imewafanya watu kutokuwa na ule 'uoga' kama miaka ya zamani before introduction of ARVs.

So watu wanaendelea kula utamu kama kawa.

"Pale kati patamu" is the universal anthem.

-Kaveli-
 
Katika nchi zilizoendelea watu walioathirika sana na HIV/AIDS ni gay society, na hawa watu wanajua kulobby ikifika kwenye mustakabali wa haki zao, fikiria walivyolobby mpaka ndoa za jinsia moja zimepitishwa, waje wasikie kuna pharmaceutical company ina hold cure, wataandamana. Sijasikia habari za chanjo za HPV ingawa ninakumbuka ilivyoanza in one promotion zake. Ninafahamu chanjo ya HPV inatolewa shule kwa mabinti wote wa miaka 13 na wanarudia tena wakiwa 16 lakini mzazi lazima akubali, kwa miaka 16 binti ana uwezo wa kusign consent mwenyewe bila ridhaa ya mzazi.


Basi fanya follow-up on HPV vaccination for your own update on the same.

The vaccine is allegedly NOT safe. Most of those vaccinated, imeathiri afya zao!

-Kaveli-
 
Arvs pia zime saidia sana kupunguza kiwango cha maambukizi kati ya walio athirika na wasio nao. Mtumiaji wa Arvs uwezo wake wa kuambukiza ni mdogo kuliko mtu asie tumia dawa.
 
Mkuu BAK, that's correct. Tena uwepo wa hizi ARVs ambazo mwathirika anazima ghafula tu na unene wake without healthy deterioration, ndo kabisaaa watu wanaonekana kutoogopa HIV/AIDS. The disease being 'controllable' imewafanya watu kutokuwa na ule 'uoga' kama miaka ya zamani before introduction of ARVs.

So watu wanaendelea kula utamu kama kawa.

"Pale kati patamu" is the universal anthem.

-Kaveli-
ugojwa umekaa pabaya sana
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom