Why should I get married?

Why should I get married?

uniquelady

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
420
Reaction score
177
Natumaini ni wàzima wa afya ndugu zangu. Hili swali huwa najiuliza sana sijui wenzangu mlio kwenye ndoa na ambao hamjaolewa mmejiuliza pia???

Baada ya kujiuliza utaweza kutafakari kwa usahihi kwamba uko tayari? Au unaoa/kuolewa kwa sababu rafiki zako wote wameoa/kuolewa.

Unaoa/kuolewa kwa sababu it's the right time na umempata MTU ambae u can't live without?

Mawazo yako ni muhimu katika hili

Nawasilisha...
 
Binafsi mambo ya kuoa hata siyajui wala sijawahi kufikiria kuoa, sijawahi kuona umuhimu wa kuoa kwenye mimi binafsi.
 
Unaoa kwa sababu ya kuchoka kupimiwa penzi au kupewa kwa masharti. Unataka kuimiliki.
 
Mimi nimeshaoa. Nilioa kwa sababu enzi yetu,kijana akishafika umri wa kujitegemea, wazee wetu walikuwa wanatafuta binti mwenye maadili kutoka familia nzuri, na unaozeshwa.

Bahati nzuri kwetu ni kuwa, nyakati zetu vishawishi havikuwa vingi kama mnavyokumbana navyo vijana wa sasa. Na maadili tulikuwa nayo. Tumedumu ndoani kwa miaka 35 sasa.
 
Ntaolewa kwasababu inaleta heshima na pia napenda kuwa na familia ila pale tu ntakapopata mtu sahihi otherwise bora nife single

Na mimi nitaoa kwa sababu napenda kuwa na familia...huyo mtu sahihi anaweza kuwa mimi ili usife single...
 
Mimi nimeshaoa. Nilioa kwa sababu enzi yetu,kijana akishafika umri wa kujitegemea, wazee wetu walikuwa wanatafuta binti mwenye maadili kutoka familia nzuri, na unaozeshwa.

Bahati nzuri kwetu ni kuwa, nyakati zetu vishawishi havikuwa vingi kama mnavyokumbana navyo vijana wa sasa. Na maadili tulikuwa nayo. Tumedumu ndoani kwa miaka 35 sasa.

Mkuu, kumbe una ma-experience na hii mambo!! Inabidi sisi ambao bado tuchukue ushauri kutoka kwenu..
 
Mimi nimeshaoa. Nilioa kwa sababu enzi yetu,kijana akishafika umri wa kujitegemea, wazee wetu walikuwa wanatafuta binti mwenye maadili kutoka familia nzuri, na unaozeshwa.

Bahati nzuri kwetu ni kuwa, nyakati zetu vishawishi havikuwa vingi kama mnavyokumbana navyo vijana wa sasa. Na maadili tulikuwa nayo. Tumedumu ndoani kwa miaka 35 sasa.

shikamoo babu..
 
Natamani sana kuoa ili niwe na familia kwenye ndoa,,na nikisha oa nataman wanawake wote niwaone wa kawaida tu hata km niwazur kias gan ili nisiharbu ndoa yangu,,siunajua ukiwa kijana kila mwanamke anakuvutia kwa namna yake
 
Watu hufikia kuoana si juu muda umefika nooop ni vile umepata mtu mwenye mmeshibana mwaona mko tayari kuanzisha family
 
Mimi nimeshaoa. Nilioa kwa sababu enzi yetu,kijana akishafika umri wa kujitegemea, wazee wetu walikuwa wanatafuta binti mwenye maadili kutoka familia nzuri, na unaozeshwa.

Bahati nzuri kwetu ni kuwa, nyakati zetu vishawishi havikuwa vingi kama mnavyokumbana navyo vijana wa sasa. Na maadili tulikuwa nayo. Tumedumu ndoani kwa miaka 35 sasa.

Aiseee...hongera kaka
 
Kijana oa na msichana olewa you can't imagine.ni raha Sana kuwa na family but mind you you need to take preparation before getting married.
 
Back
Top Bottom