they want a man who is rich, tall, handsome, ana gari, nyumba na kazi nzuri..... wakat baba zao wakat wanaoa mama zao walikua just broke, no car, short, wamepanga etc wanatakiwa wawe fair like their mothers!!! i bet hata wengine mpaka leo wazazi wao bado maskini lakini wapi wamepata ujasiri wa kuomba yote haya is beyond me