Why most relationships na ndoa nyingi dont last nowadays

Why most relationships na ndoa nyingi dont last nowadays

Unashangaa nini wakati wengi wenu ndio mnavyopenda hivyo ?
Wanaume watu wa ajabu sana!
Wataomba papuchi mapema iwezekanavyo, wakishapewa wanakaa pembeni na kuanza kuongelea vibaya kuhusu "wanawake wa siku hizi", watawaita majina yote ya kuwatusi wakati wao ndio wame initiate hizo tabia.
Mimi nawaona wanafki sana nyie viumbe!

Asante kwa kunisaidia!!
 
Ww ulishaumizwa mara ngap uliacha kupenda tena???

Ndivyo hivyo hivyo kwangu siwez kuacha kutoa game eti kisa utaniacha??
Kama tulikubaliana kuwa kwenye mahusiano sina kosa kama nitakupa papuch, kama mtu ana lengo la kunitumia na kuacha hata tukikaa mwaka atasubir tu, atakapotizima lengo lake atasepa..

Ndio maana nasisitiza lazima nicheze game salama hata ukiniacha fresh we sepa tu..

Well said mamito, piga game...piga game na upige game!
 
Wanaume wengi wa kizazi hiki dushee zao zina pepo la ngono

waende kwa Mwakasege wakaombewe
 
Tutumie kinga. Kumchunguza mtu nani atalipia gharama ya kupoteza huo muda?
 
Unashangaa nini wakati wengi wenu ndio mnavyopenda hivyo ?
Wanaume watu wa ajabu sana!
Wataomba papuchi mapema iwezekanavyo, wakishapewa wanakaa pembeni na kuanza kuongelea vibaya kuhusu "wanawake wa siku hizi", watawaita majina yote ya kuwatusi wakati wao ndio wame initiate hizo tabia.
Mimi nawaona wanafki sana nyie viumbe!


Hakuna wa kulaumiwa,kila.mtu yuko responsible kwa matendo yake,
Sio mwanaume sio mwanamke,
 
Hakuna wa kulaumiwa,kila.mtu yuko responsible kwa matendo yake,
Sio mwanaume sio mwanamke,

Ni kweli kabisa.
Ila nawaonaga wanafki tu ambavyo wanatusi na kunyooshia vidole tabia ambazo wao wanafanya tena wanaona sifa na fahari.
 
Back
Top Bottom