kabintispecial
Member
- Feb 16, 2014
- 67
- 31
Jamani sijui ni mim nimepitiwa na wakati au nimegoma kwenda nao..sijui wanadamu wa sasa tumekuaje..unakuta unakutana na mwanaume siku ya kwanza mnakaa vizuri tu then siku ya pili yako mtu tayari kashaanza kukuomba uchi..hivi ndani ya siku moja unaweza ukawa umemjua mtu vizuri?hujui background yake,hujui kawa na wanaume wangapi uko nyuma ww unawaza kumpeleka kitandani tu..kwa style hii ukimwi hauishi aisee..
Ushauri wangu jamani naweza nikaonekana wa zamani ila ni muhimu kujipa time kumfahamu mtu utakaekua nae..atleast ata anakaa wap,ametoka kwenye familia ya aina gani na je kama atakufaa na unaweza kua nae kwa mda mrefu..tuwe wavumilivu na tusiwe controlled na miili yetu..hizi tamaa za mwili mbna ni kitu cha mda tu.!it doesnt break a bone to be patient,infact it helps alot apo ndo unakuta unaoa mtu baada ya wiki moja unaanza kujita.!tusisingizie nyakati,ur are the master of ur decision.!
Ushauri wangu jamani naweza nikaonekana wa zamani ila ni muhimu kujipa time kumfahamu mtu utakaekua nae..atleast ata anakaa wap,ametoka kwenye familia ya aina gani na je kama atakufaa na unaweza kua nae kwa mda mrefu..tuwe wavumilivu na tusiwe controlled na miili yetu..hizi tamaa za mwili mbna ni kitu cha mda tu.!it doesnt break a bone to be patient,infact it helps alot apo ndo unakuta unaoa mtu baada ya wiki moja unaanza kujita.!tusisingizie nyakati,ur are the master of ur decision.!