Israel, Iran, Kurdistan,Thailand, Andaman islands, Philippines,Indonesia na Australia zina watu weusi ambao walibakia huko huku wenzao wakikimbia vita dhidi ya wazungu.Naona kama watu wanatumia nguvu nyingi sana kufafanua hoja bila sababu ya msingi.. Dini maarufu hapa duniani karibia zote zimeanzia mashariki ya kati (uislam na Uyahudi-judaism) ama mashariki ya mbali (Buddhism.. Taoism) ama ulaya (ukristo..) katika maeneo yote haya hakukuwa na watu weusi enzi hizo… kwa hiyo ni sawa manabii wa hizi dini za hawa jamaa wafanane na wakaazi wa huko..
Wacha wee!! Naona Waafrika nao wameanza kuandika historia yao.Fanya Tafiti kwanza. Kwanza kukujuza hakuna geoposition duniani inaitwa mashariki ya kati. Kati kutokea wapi??? it is corrupted political term, Hilo endo linaitwa "Alua Afrikani" kwa kiebrania ikiwa na maana Kaskazini Mashariki ya Afrika. Fikiri sana kabla ya kunena.
Pili Hio eneo hapo mwanzo wa biblia lilikuwa linakaliwa na Watu WEUSI. hawa watu unaowaona wengi kama weupe wamevamia pale hasa kuanzia Enzi ya Alexzander wa Macedonia miaka 342, Kisha Warumi, Waajemi (Waturuki) kisha Ufalme wa Persia (Iran), Mongolia Empire na katika Karne ya 7 hadi 14 Waarabu Weusi walipiga Vita mpaka Ureno na Hispania wakatawala kote. Kuanzia karne ya 17 hadi Sasa hilo eneo lilikaliwa na Waingereza.
Kwa maana hio uvamizi uliokithiri eneo hilo imesababisha kabisa Kizazi Cha wenyeji wenyewe WEUSI kifutike na kutoweka kabisa. Ingawaje hilo eneo bado kuna ushahidi wa Weusi kubakia hadi leo wanaonekana wachache sana.
Hivyo Race Mixing ilifanyika sana ambayo lengo ni IDENTITY THEFT YA MWENYEJI MWEUSI.
HIVYO DINI ZOTE KUANZIA ZA ASILI-JUDAISM-UKRISTO- UISLAMU UMEANZISHWA NA WEUSI. HAWA WATU WEUPE WAMEPELEKEWA NA KUBADILI RITUALS KWA KUINGIZA MAMBO YA UPAGANI WAO.
HAKUNA DINI, WALA HAKUPATOKEA MANABII WALA MITUME WEUPE. WOTE NI WEUSI NA HATA WATAKATIFU UNAOWASIKIA KATOLIKI WALIKUWA WEUSI. NA NDIOMAANA HATA LEO VIUMBE VYOTE ULAYA NA ASIA VINAMWABUDU MTU MWEUSI KAMA MUNGU WAO UNDERGROUND.
JAMANI AMKENI FANYENI TAFITI. HUU NI MDA WA MWAMSHO. WILL NEED TO TAKE OVER OUR SPIRITUAL PLANET BACK. OUR CREATOR WANTS US. AND THEY ARE HERE ALREADY TO ALTER OUR DNA.
THE ENTIRE WOLRD KNOWS US WHO WE ARE, THATS WHY THEY HATE US BADLY AS LONG AS YOU ARE BLACK MAN.
AKIRUDI KAMA UTAKUWEPO UTAJUA AU KUELEZWA NA WAFUASI WAKE ALIKOFIKIA.huyu yesu hakua na baba mzazi,naamini atarudi,ila sijui akirudi atafikia kwa nani?
kwa uelewa wangu mm najuaga hakuna aliye wahi kuitwa mtume akiwa hai!! hapo naona mnanichanganya"Mtume" Mwingira ni mweusi..upo sahihi mkuu
Atazaliwa upya!!! Na atakuwa na familia mpya pia... Tofauti na mama yake unayemjua ambaye ni mariam!Okechuku Okechuku [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wanifanya niamini sasa kuwa JF it's where the magic lives. Hata mimi sifahamu atafikia wapi [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wacha wee!! Naona Waafrika nao wameanza kuandika historia yao.
Huko tuendako Uganda watajiandikia historia yao na vita ya Uganda wataielezea dunia jinsi walivyoipiga Tanzania hadi wakaingia Dar es salaam. Huku Malawi na dunia wakitambua kuwa mpaka kati ya Tanzania na Malawi upo ufukweni mwa like ziwa upande wa Tanzania, Tanzania yenyewe inaamini na kufundisha kuwa mpaka wa nchi hizo upo katikati ya lile ziwa.
Huku Tanzania wakiliita ziwa Nyasa, Malawi na dunia yote wanaliita Ziwa Malawi.
**** wanaharakati/wapiganaji wa kidini, hawa kuna wanaowaita Magaidi , lakini kundini lingine linawaita mashahidi.
It's a free world, the world of multiple choices and comoosing essays. Amini utakacho, ishi uwezavyo.
Conscious Speaking, respect!Ulipaswa ufanye tafiti kwanza ndipo uje humu kutuabarisha. Na sio kuropoka tu.
Kwanza kitabu gani ama ni vitabu vipi umefisoma na kukujuza kuwa manabii na mitume walikuwa weupe?
Hakuna kiupe cheupe duniani. Hakuna Period. These are corrupted terms ambazo mmeaminishwa kwa kuwa wameua uwezo wenu wa kufikiri.
Tangu mwaka 342 Hadi leo, ulimwengu huu umegeuzwa geuzwa pale tu Mtu mweusi alipofanya makosa ya kuzaa na wanawake nje ya taifa lao. Weusi walitapaka dunia mzima na wakawatawala viumbe vyote. Makosa ni pale walipoamua kuzaa na wazungu.
Ili hali waliambiwa msioe wala kuoza kwa mataifa. WE MADE THAT MISTAKE. THATS WHY WE HAVE TO PAY FOR OUR DEEDS.
ELIMU tukawapa hawa watoto hali wajomba zao wakitulindia na kutufanyia kazi zote. Ikawaumiza sana hawa watoto. kwakuwa tuliwapa elimu na mamlaka ndani ya tawala zetu, wakawaelimisha wajomba zao na kufanya striking za mara kwa mara wakadeclare war tukashindwa.
Hapa sasa ndio chanzo za kupoteza kila milki na tukageuzwa kuwa wafungwa wa kivita ndio mwendelezo wa kizazi hiki kisicho na maarifa wala kumbukumbu soma ZABURI YA 83.
Hivyo Elimu nzuri na ya kweli ikaondoshwa ikatengenezwa ya uwongo na kurekebisha hata baadhi ya vitabu vya elimu ya maisha ya kiroho wakahadaa dunia yote na kubadili ama kuficha kabisa ushahidi uwe wa kimaandishi:
Rejea MUSA alipoambiwa na Mungu kuwa Weka mkono wako kifuani halafu toa. Mkono ulibadilika ukawa mweupe. Kumbe MUSA HAKUWA MWEUPE? SOMA UFUNUO WA YOHANA 1:12 UNAELEZA YESU ALIVYOKUWA.
MBONA MAKANISANI HAMFUNDISHWI YALIOPO NDANI YA VITABU HIVI?
DUNIA ILIPOANGUKIA MIKONONI MWA WAZUNGU NDIPO MANABII NA MITUNE WAKABADILIKA GHAFLA WAKAWA WEUPE: WHY?????
Leo wamebadili hata mchoro wao wa Yesu ambao mwanzo alikuwa Therapis mtoto wa Ptolomy. Na wemeweka kuwa Mweusi. WHY NOW????
sheikh...wewe umekuja lini ustaadh?Hatuhitaji historia yetu iandikwe na kiumbe kilichokuja Jana.
Ushabiki upo wapi hapo na uzushi ni upi?ndg, naona unashabikia uzushi. Unaongelea Afrika ambayo haikuwa na Mipaka, kisha unataja nchi zilizopatikana na wazushi.
Sifahamu una lengo gani? Jaribu kujadili hoja ili tukuelewe. Hatuhitaji historia yetu iandikwe na kiumbe kilichokuja Jana.
FIKIRI KWANZA
sheikh...wewe umekuja lini ustaadh?
Ushabiki upo wapi hapo na uzushi ni upi?
Ili hali waliambiwa msioe wala kuoza kwa mataifa. WE MADE THAT MISTAKE. THATS WHY WE HAVE TO PAY OUR DEEDS.
Hivi walioambiwa wasioe ama kuoza kwa mataifa walikuwa ni waafrica au waisrael?
The Colour and Race of Jesus is insignificant. However, his message is.