nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 10,654
- 9,792
Ameshatinga chaka gani atujuzebila shaka wewe ni miner au TX
Ameshatinga chaka gani atujuzebila shaka wewe ni miner au TX
Treni ina coil spring meli sjuiThe Earth moving machines,they are part of the Earth,Hence the Earth do not need Suspension.
Ni kama treni na meli
Hebu Weka hapa picha ya treniTrain has no spring because there is no bouncing
mkuu ndo tunafuta njia ys kwenda kula dollarTz m naona mizinguo tuu jtahid utoke nje ya nchi ukale bata
Train ina coil spring. I've seen them.Train has no spring because there is no bouncing
Mkuuu umejibu swali langu isitoshe PCM ulisoma vizuriSuspenshen zinafanya chombo kinanesanesa wakati kikiwa kwenye mwendo,chukulia tractor inapolima inahitaji majembe kujichimbia chini hivyo kunesanesa kutasababisha majembe kuachia ardhi na kushindwa kulima,huu mfano upo pia na kwenye mashine zote za ujenzi.pia matairi makubwa yanafanya kazi ya suspensheni ikiwa barabarani
Ina speed ya kms ngapi kwa saaHakuna gari inayoweza kukimbizana na greda hata siku moja## I have operated gredar For 3 yrs I know each and everything about that machine
Songea Tunduru SOGEA SATOM,hapa MOses utamfahamu tu.Songea to Mbinga road, Sumbawanga to kassanga port road, songea tunduru road,etcetera
Hizo zinaitwa COIL na sio Suspension,Aliesema train haina suspension. Picha hizo hapo.
Ndugu hebu nenda kasome vizuri kuhusu locomotive suspension system ikiwezekana nenda uka google ndipo uje kuongea vizuri. Those coils are not there for AC magnetic field or for generation of electic current. Ninakifahamu kitu nilichokipost.Hizo zinaitwa COIL na sio Suspension,
Na kazi yake inabidi angalau uwe na D ya Fizikia.......AC Magnetic Field zahusika.....
Hakuna gari inayoweza kukimbizana na greda hata siku moja## I have operated gredar For 3 yrs I know each and everything about that machine
Tatizo lake anaongelea suspension kama physical object wakati ni kitendo kinachofanywa na object kama coil na springsNdugu hebu nenda kasome vizuri kuhusu locomotive suspension system ikiwezekana nenda uka google ndipo uje kuongea vizuri. Those coils are not there for AC magnetic field or for generation of electic current. Ninakifahamu kitu nilichokipost.
Zidadu unamfaham? Or gada, mayunga, jeliSongea Tunduru SOGEA SATOM,hapa MOses utamfahamu tu.
Xwanga kidogo upate kama ungeanzia Laela X wanga via mpui hapa Nolasco ungempata.
Lakini kuna Operator maarufu wa Grader(Robert) bila shaka utamfahamu